dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source Star Tv habari
Bwana Kibamba na wanaharakati wamenukuu baadhi ya kauli za viongozi wa nchi na wale wa katiba inaonyesha wanaweza kuandika mambo wanayoyataka wao na si wanannchi.
Kwa mfano;
Kikwete: hakuna kujadili muungano bali namna ya kuboresha muungano
Warioba: hatutaki kuingiliwa ktk shughuri zetu ktk mchakato wa katiba:
Shein: ni marufuku kuzungumzia mambo ya muungano na hakuna kura ya maoni.
Kombani: hakuna katiba mpya ila tunaboresha iliyopo.
Swali katiba inatengenezwa kwa ajiri ya nani?
Bwana Kibamba na wanaharakati wamenukuu baadhi ya kauli za viongozi wa nchi na wale wa katiba inaonyesha wanaweza kuandika mambo wanayoyataka wao na si wanannchi.
Kwa mfano;
Kikwete: hakuna kujadili muungano bali namna ya kuboresha muungano
Warioba: hatutaki kuingiliwa ktk shughuri zetu ktk mchakato wa katiba:
Shein: ni marufuku kuzungumzia mambo ya muungano na hakuna kura ya maoni.
Kombani: hakuna katiba mpya ila tunaboresha iliyopo.
Swali katiba inatengenezwa kwa ajiri ya nani?