Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Yaliyotokea mkoani Mara yanatishia sana amani ya nchi yetu.
Hofu sasa imeanza kutanda, amani hamna tena,
ukiwa na mali japo kidogo tu, maadui wengi wanaibuka kila kona.
jeshi letu la kutulinda limelala doro, ukipiga simu namba ya dharura inapokelewa na answering machine.
Ukipiga simu ukiwa Namanyere Sumbawanga, inapokelewa Dar es Salaam.
Hivi jamani kweli nitapata msaada wa haraka kweli wakati mtu aliyepokea simu yangu ya dharura yuko huko mbali?
Naomba hizi namba za dharura zielekezwe kwenye kituo cha polisi wilaya ili tukiwa na shida tupate huduma kwa haraka.
Vinginevyo serikali ilivunje jeshi la polisi na itamke bayana kuwa ulinzi wa raia na mali zao ni jukumu la raia wenyewe.
Hofu sasa imeanza kutanda, amani hamna tena,
ukiwa na mali japo kidogo tu, maadui wengi wanaibuka kila kona.
jeshi letu la kutulinda limelala doro, ukipiga simu namba ya dharura inapokelewa na answering machine.
Ukipiga simu ukiwa Namanyere Sumbawanga, inapokelewa Dar es Salaam.
Hivi jamani kweli nitapata msaada wa haraka kweli wakati mtu aliyepokea simu yangu ya dharura yuko huko mbali?
Naomba hizi namba za dharura zielekezwe kwenye kituo cha polisi wilaya ili tukiwa na shida tupate huduma kwa haraka.
Vinginevyo serikali ilivunje jeshi la polisi na itamke bayana kuwa ulinzi wa raia na mali zao ni jukumu la raia wenyewe.