Judgement Miaka miwili Foramuni

Judgement Miaka miwili Foramuni

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Wadau wapendwa wangu Chtcht habari zenyu .

Jana tr. 13 Nov 13 nimetimiza miaka miwili iliyokamilika hapa Jamii forums .

Si haba kuufikisha umri huo , si pafupi sana , aidha si parefu sana , ni kama kati kwa kati .
Kwani wapo wengi nilio wakuta , na sasa hawapo tena.

Ktk msafara wa hadi kufika hapa nimeishaikwaa Ban 1 ya 14 days , ambapo niliichukulia kama ni sehemu ya ukomavu hivi , ama ni kama kijana wa kiume kupita jandoni , au wa kike kuzibuliwa bikira.

Kwa mapenzi mema nikiombacho kwenu ni mnitakie kheri na uzima niendelee kufurahia maisha ya humu Jf .

Nawapenda wooote .
J u d g e m e n t
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana na tunakuombea mema kila siku.
 
Hongera mkuu ila hiyo kuzibuliwa haijakaa vizuri labda ndo ukomavu wa ban huo
 
Hongera mkuu ila hiyo kuzibuliwa haijakaa vizuri labda ndo ukomavu wa ban huo

Asante phill !
Either nimepokea amend , but ungeniacha na neno m'badala instead of "zibuo"
 
Last edited by a moderator:

H. O . E
Thanks mrembo! Afu siku yangu kama hii , ungetinga hapa ukiwa hiyo mishedo umeiongezea mkolezo! Afu ukazinyanyua na hizo mboni mkabala , wahisani watathmini ! Hujachoka kuangalia chini ?
 
Last edited by a moderator:
Judgement hongera, nilishangaa ulivoanza thread kwa maneno ya hekima, kumbe utamalizia kwa pumba kama kawa!
 
Last edited by a moderator:
Judgement hongera, nilishangaa ulivoanza thread kwa maneno ya hekima, kumbe utamalizia kwa pumba kama kawa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom