Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Wadau wapendwa wangu Chtcht habari zenyu .
Jana tr. 13 Nov 13 nimetimiza miaka miwili iliyokamilika hapa Jamii forums .
Si haba kuufikisha umri huo , si pafupi sana , aidha si parefu sana , ni kama kati kwa kati .
Kwani wapo wengi nilio wakuta , na sasa hawapo tena.
Ktk msafara wa hadi kufika hapa nimeishaikwaa Ban 1 ya 14 days , ambapo niliichukulia kama ni sehemu ya ukomavu hivi , ama ni kama kijana wa kiume kupita jandoni , au wa kike kuzibuliwa bikira.
Kwa mapenzi mema nikiombacho kwenu ni mnitakie kheri na uzima niendelee kufurahia maisha ya humu Jf .
Nawapenda wooote .
J u d g e m e n t
Jana tr. 13 Nov 13 nimetimiza miaka miwili iliyokamilika hapa Jamii forums .
Si haba kuufikisha umri huo , si pafupi sana , aidha si parefu sana , ni kama kati kwa kati .
Kwani wapo wengi nilio wakuta , na sasa hawapo tena.
Ktk msafara wa hadi kufika hapa nimeishaikwaa Ban 1 ya 14 days , ambapo niliichukulia kama ni sehemu ya ukomavu hivi , ama ni kama kijana wa kiume kupita jandoni , au wa kike kuzibuliwa bikira.
Kwa mapenzi mema nikiombacho kwenu ni mnitakie kheri na uzima niendelee kufurahia maisha ya humu Jf .
Nawapenda wooote .
J u d g e m e n t
Last edited by a moderator: