Hii ni lugha tu. Na katika lugha zote kunakuwepo na misemo au phrases ambazo scientifically hazileti maana. Hebu fikiria hii kitu "She broke my heart" unafikiri kweli Moyo umevunjwa?
Au angalia hii, "nimezama kwenye dimbwi la mapenzi" dimbwi lenyewe halionekani kwa macho.
Na kuhusu neno MAJUU, ilianzia kwa kufikiria kuwa mtu anakatiza mawingu yaliko juu, kama njia ya kwenda huko ulaya, na kwingineko.