deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Habari zenu wanajamvi. Nimeona 2share matukio ya kimaisha naamin nany mtajfunza k2. Nilikutana na galfrnd wangu akiwa amemalza 4m cx anasubr kwenda chuo wakat huo mimi nkiwa 4m cx means alikua kaniacha kdato k1. Maisha ya mapenz yalianzia hapo na 2lienjoy, matokeo yake yakaja kutoka akawa amepata dvsn 1.8 na akachaguliwa kwenda udsm. Mi ckujal na nikampa zawad kulngana na uwezo nlokua nao kpnd hcho na hongera juu thoug frnds wangu wakawa wanasema hapo ndio unamkosa kiukwel nilichukulia poa sn. Coz nliaminin hata hao wanaume mi km mimi 2. Maisha yakawa yanasonga akaenda rpot chuo na 2kaweka ratba kila mwez yeye anakuja au mimi naenda na nkampa uhuru awe anaenda bash zote znazofanykia chuo ila club ctak aende na kwel alikua anafanya hvyo muda mwngne anancol hta sa9 ucku kuwa ndio anarud rum. Mwaka wake wa kwanza ukaisha salama nami nkawa nimemalza cx kwa hyo natakiwa kwenda chuo nikawa nimepata chuo flan cha engneern hapa tz bt parents nao wakawa wamepata chuo flan ulaya ila ckupenda kwenda huko kwa time ile coz nliisha waambia kuwa mastaz ntafanya out. Mungu akajalia nkaanza chuo mi nkawa mwaka wa kwanza nae mwaka wapl. Ckumoja aliniudh mi nkamtakia bora 2seprt na kwel 2kawa hatuna mawasliano km two wkc bt cku nkajshusha nkamchek 2kayamalza ila mawasliano akawa mzto sn nkamuulza rzon akasema kpnd umeniacha nlikusalt so naona km nakuarbia future yako. Mh nkadoubt inamana wthn two wkc umepata mchz na mkozoeana mpaka kusex by da way coz nilmpenda na nlikua cjui ukcheche nkasamehe yakaisha. Imefka cku moja npo likzo nkaingia fb nkakuta m2 amentext bro ucmwache gal wako ni wife material nkamulza wamfaham flan akasema yap ni clasmt wangu kumbe jamaa kala mzgo. Cku moja npo hm nkapokea cm jamaa akasema nimekosea namba nkamulza wamtaka nan akajbu gal wangu na kwel namba zltofautia codno 2. Kuja kuchunguza na jamaa nae anapga duuh nlchoka. 2kaachana akapata kaz ya ualm huku mi bdo npo chuo. 2kawa frnds kuptlza ila wenzie wakawa wanabembeleza nmsamehe kiukwel nimeshndwa mpaka leo.