JPM Atoa Million 700

JPM Atoa Million 700

Hii mijitu ya ccm bana. huo ni mpango wa wizara ya afya na si Arusha peke yake Kata ziko nyingi ambazo wanapatiwa fedha hizo kuboresha vituo vya afya.na hizo fedha magufuli hajatoa mfukoni kwake ni kodi yako wewe na mimi na kila mtanzania anayelipa kodi. hivi ujinga mtaacha lini?
 
Wadau wa JF
Mojawapo ya malengo ya Serikali ya awamu ya tano ni Uboreshaji wa Sekta ya Afya nchini. Malengo hayo yanazidi kutimia pamoja na changamoto mbalimbali zinazojitokeza.Katika kutekeleza hilo hivi karibuni Mhesh Rais wetu Dr John Pombe Magufuli ametoa Tshs millioni 700 kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Muriet Mkoani Arusha.
Hongera sana JPM kwa utekekezaji wa vitendo wa ahadi ulizotoa kwa watanzania wakati wa Uchaguzi.
Amezitoa mfukoni mwake au ni kodi zetu?!!!
 
Hii mijitu ya ccm bana. huo ni mpango wa wizara ya afya na si Arusha peke yake Kata ziko nyingi ambazo wanapatiwa fedha hizo kuboresha vituo vya afya.na hizo fedha magufuli hajatoa mfukoni kwake ni kodi yako wewe na mimi na kila mtanzania anayelipa kodi. hivi ujinga mtaacha lini?
Ujinga tutaacha pale tu Bashite atakaposema meli ya wachina haijagharimiwa na Mkulu
 
Back
Top Bottom