Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Hii mijitu ya ccm bana. huo ni mpango wa wizara ya afya na si Arusha peke yake Kata ziko nyingi ambazo wanapatiwa fedha hizo kuboresha vituo vya afya.na hizo fedha magufuli hajatoa mfukoni kwake ni kodi yako wewe na mimi na kila mtanzania anayelipa kodi. hivi ujinga mtaacha lini?