JPM Atoa Million 700

JPM Atoa Million 700

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau wa JF
Mojawapo ya malengo ya Serikali ya awamu ya tano ni Uboreshaji wa Sekta ya Afya nchini. Malengo hayo yanazidi kutimia pamoja na changamoto mbalimbali zinazojitokeza.Katika kutekeleza hilo hivi karibuni Mhesh Rais wetu Dr John Pombe Magufuli ametoa Tshs millioni 700 kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Muriet Mkoani Arusha.
Hongera sana JPM kwa utekekezaji wa vitendo wa ahadi ulizotoa kwa watanzania wakati wa Uchaguzi.
 
Wadau was JF
Mojawapo ya malengo ya Serikali ya awamu ya tano ni Uboreshaji wa Sekta ya Afya nchini. Malengo hayo yanazidi kutimia pamoja na changamoto mbalimbali zinazojitokeza.Katika kutekeleza hilo hivi karibuni Mhesh Rais wetu Dr John Pombe Magufuli ametoa Tshs millioni 700 kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Muriet Mkoani Arusha.
Hongera sana JPM kwa utekekezaji wa vitendo wa ahadi ulizotoa kwa watanzania wakati wa Uchaguzi.
Je na huko tuseme kapendelea
 
Serikali imetoa but ukisema JPM una zungumzia mtu moja nje ya Serikali ambaye na resources zake binafsi ana toa msaada tu kwa mfuko binafsi basi kama ni mfuko wa uma kwa ajili ya maendeleo itumike serikali imetoa
 
Leo tunae mkuu wa mkoa wa ajabu sana Arusha. Yaani Mrisho gambo ndie meneja kampeni wa mgombea udiwani wa ccm kata ya muriet huku Arusha. Ni aibu sana
 
Huu ni upendeleo wa wazi wazi....mbona sisi ktuo chetu hatujapewa? Hakika Mh Rais ana wapendelea wana Arusha....
 
Sema kodi zetu zimepangiwa kuboresha huduma za afya sio katoa, anakiwanda binafsi cha kutengeneza pesa? Hilo ni jukumu lake sio hisani.

Angeweza pia kuzitumia kupandia ndege na kwenda kutanulia ng'ambo.
 
hiyo hela imeidhinishwa na bunge au ni yeye mwenyewe kaamua kuchota hazina?
 
Back
Top Bottom