Joto Vs Uchafu/Usafi

Joto Vs Uchafu/Usafi

Los santos

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2021
Posts
1,190
Reaction score
2,654
Kwakweli kwa hili JOTO la DSM alafu kama watu hawazingatii USAFI binafsi basi hao wanastahili kunyanyaswa kisaikolojia kwa kuwaambia maneno makali yanayoumiza.

Leo nimekutana na mtu ananuka beberu akasome mbele alafu kwenye makwapa hajanyoa nywele mpaka zimebadilika rangi zimekuwa kama ugolo mixer maziwa yani ni kinyaa aisee yani ni masikitiko aisee Kuna maswali unabaki kujiuliza huyu mtu hajishtukii unajikuta unakosa majibu. Kwa ule uchafu hata mbu hawezi msogelea

Na sitaki kuamini Kuna watu nguo za ndani wanavaa mpaka zivunde kwa JOTO hili la DSM lenye laana...

Kataa uchafu, uchafu ni tatizo la akili
 
Leo nimekutana na mtu ananuka beberu akasome mbele alafu kwenye makwapa hajanyoa nywele mpaka zimebadilika rangi zimekuwa kama ugolo mixer maziwa yani ni kinyaa aisee yani ni masikitiko aisee Kuna maswali unabaki kujiuliza huyu mtu hajishtukii unajikuta unakosa majibu. Kwa ule uchafu hata mbu hawezi msogelea
Ila cha ajabu Mungu alivyo FUNDI haumwi Ila wewe msafi ukigusa tu ukala kinyesi kipindupindu hiki hapa
 
Ila cha ajabu Mungu alivyo FUNDI haumwi Ila wewe msafi ukigusa tu ukala kinyesi kipindupindu hiki hapa
[emoji16][emoji16][emoji16]sasa mtu timamu unaanzaje kula kinyesi kwa makusudi labda ule bila kujijua? Pia kuumwa ni topic nyingine aise Wala hukutakiwa kuihusisha na hii mada....kwamba kwakuwa haumwi ndo aendelee kuwa mchafu??
 
Issue anyoe nywele za kwapa ,ukiwa unaoga bila kuzingatia mambo muhimu kama usafi wa kunyoa nywele ,kujisafisha vizuri basi hata uoge Kila muda harufu kali haitoisha
Nunua wembe au mashine ya kunyolea mwambie umnyoe alafu umuone atakataa au vipi ukishindwa mpe 2000 mwambie akanyoe
 
Kwakweli kwa hili JOTO la DSM alafu kama watu hawazingatii USAFI binafsi basi hao wanastahili kunyanyaswa kisaikolojia kwa kuwaambia maneno makali yanayoumiza.

Leo nimekutana na mtu ananuka beberu akasome mbele alafu kwenye makwapa hajanyoa nywele mpaka zimebadilika rangi zimekuwa kama ugolo mixer maziwa yani ni kinyaa aisee yani ni masikitiko aisee Kuna maswali unabaki kujiuliza huyu mtu hajishtukii unajikuta unakosa majibu. Kwa ule uchafu hata mbu hawezi msogelea

Na sitaki kuamini Kuna watu nguo za ndani wanavaa mpaka zivunde kwa JOTO hili la DSM lenye laana...

Kataa uchafu, uchafu ni tatizo la akili
Mpige dongo yeye kupitia story nyingine,yaani mwambie ukweli wake ila siyo straight mpaka ahisi una msema yeye. I hope ume nielewa kama mtu mzima.
 
Ndio maana nikiwa Daslam sipandi Daladala.

Mwez uliopita nilipanda daladala sas imejaz kias, akapanda mtu mkonon karibu na kiwiko ana kidonda kibichi kabisa hata hajakifunga. (Asili ya Jipu)

Alafu hatulii, muda wote anachezesha mkono.. mie nimekaa siti ya mwanzo kabla ya dirisha hivy aliposimama na mimi ninkaribu akichezesha kdg tu tyr kanipaka usoni au mdomoni kabisa.

Kumwambia siwezi naona kama nitamnyanyapaa kumkwep pia siwezi nafas ndogo, bas naomba mungu tuu aniepushe.

Sasa hapo inabidi kutafakari.

Aliposhika kote
Akiwa anapanda au kushuka na ule mbanano lazima amguse mtu.
Pia ww unayepanda mbele kama yeye kashuka hutochukua tahadhari yoyote utashika tu kila sehemu kumbe tyr kashaacha maji maji ya jipu.

Na mbaya zaidi alikuwa anaegemea siti na ule mkono.

Tangia hiyo siku natembea na sanitizer muda wote napaka nikipanda hii miusafiri yetu sisi Maskini.
 
Back
Top Bottom