Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Mkuu mpe heshima yake,huwezi kulinganisha komandoo na konstable/private!...
tatizo lake anawaiga mafikozolo kwa style za nyimbo zao..mwisho wa siku anaimba kwaya!!kwa akina vanessa na akina maua atasubiri saanaaa!!sauti yake ipo flat sanaaa!!