ni kuwa kwa sasa ndo vyombo vya habari vinamuangalia kwa ukalibu ila hii ni tabia yake mkuu, vp ulikuwa unamfuatilia kiasi hicho hebu sema jingine bwana achana na upuuuzi huu!Sasa hivi Nassari anaomba kura kwa kubeba vichanga mbona hakufanya hivyo kabla ya kugombea?
ni kuwa kwa sasa ndo vyombo vya habari vinamuangalia kwa ukalibu ila hii ni tabia yake mkuu, vp ulikuwa unamfuatilia kiasi hicho hebu sema jingine bwana achana na upuuuzi huu!
Unashangaa Nassari kubeba vichanga mbona hukushangaa waliopiga magoti na kukaa chini ?.
Sasa hivi Nassari anaomba kura kwa kubeba vichanga mbona hakufanya hivyo kabla ya kugombea?
Toto la nursery.Mwiba umekuchoma endelea kupiga kelele! Hiyo mitusi itakutoka mpaka povu litakauka.
Siasa ni mchezo mchafu hakika .
Huyu alikuwa mchochezi wa vurugu na migomo UDSM wala hana la maana la kuwafanyia Arumeru.ni kuwa kwa sasa ndo vyombo vya habari vinamuangalia kwa ukalibu ila hii ni tabia yake mkuu, vp ulikuwa unamfuatilia kiasi hicho hebu sema jingine bwana achana na upuuuzi huu!
Sasa hivi Nassari anaomba kura kwa kubeba vichanga mbona hakufanya hivyo kabla ya kugombea?
Unashangaa Nassari kubeba vichanga mbona hukushangaa waliopiga magoti na kukaa chini ?.
Huyu alikuwa mchochezi wa vurugu na migomo UDSM wala hana la maana la kuwafanyia Arumeru.
Achana naye huyo. Mtu mzima anakuja na hoja za chekechea.Unashangaa Nassari kubeba vichanga mbona hukushangaa waliopiga magoti na kukaa chini ?.
Sasa hivi Nassari anaomba kura kwa kubeba vichanga mbona hakufanya hivyo kabla ya kugombea?
Huyu alikuwa mchochezi wa vurugu na migomo UDSM wala hana la maana la kuwafanyia Arumeru.
Eti style hii ya magoti ndiyo sifa iliyompatia huyu jamaa Uwaziri. Mkulu ilimfurahisha sana na akataka na wengine wamuige wapate ulaji. Matokeo yake mnayaona katika wizara anayoiongoza? 90% ya watahiniwa wa O level chali. Up to 2015 mbumbumbu watakuwa wangapi nchi hii?