Kipigi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 813
- 330
Aliefanya vizuri ni Lowasa sio Chadema mlijijua uwezo wenu ndio maana mkaamua kula matapishi yenuSasa mbona wameondoka na chama kimefanya vizuri kwenye uchaguzi uliopita kuliko kipindi alichogombea huyo mchumba wake