Hapa hautaitwa MSALITI, bali utaitwa MSALITI ikiwa tu utatumia njia ambayo haipo ktk makubaliano ya taratibu za uwasilishaji wa mawazo hayo.Nimekuelewa vyema ndugu na Asante kwa kuchukua muda wako kumuelewesha......kwa namna moja au nyingine anaweza kuwa msaliti lakini tafsri ya neno msaliti nadhani Kuna baadhi ya watu wanalitafsiri vibaya......kwa mfano mnaweza kulipinga jambo ambalo limepita kwa mfumo wa wengi wape lakini wewe ukaamua kubakia msimamo wako na bado ukaonekana msaliti....
Mkuu siasa ni itikadi lakini utashi wa mwanadamu hubadilika badilika Leo unaweza mkakubaliana hivi lakini kesho akabadilika kimtizamo juu ya jambo Hilo hilo mlilokubaliana jana.........Mimi nadhani kama amejipambanua kuwa hayuko pamoja na nyinyi katika Hilo hawezi kuitwa mnafiki......Hapa hautaitwa MSALITI, bali utaitwa MSALITI ikiwa tu utatumia njia ambayo haipo ktk makubaliano ya taratibu za uwasilishaji wa mawazo hayo.
Na hapa ndipo wanasiasa wengi wanapokosa wakidhani ama wataongeza umaarufu ktk chama au kuitafuta Huruma badala ya kuwa uvumilivu wa kuendelea kushawishi kwa njia walizokubaliana ktk kundi.
Nakubaliana na wewe kabisa kwamba itikadi ya mwanadamu inaweza kubadilika tofauti na chama alichomo,Mkuu siasa ni itikadi lakini utashi wa mwanadamu hubadilika badilika Leo unaweza mkakubaliana hivi lakini kesho akabadilika kimtizamo juu ya jambo Hilo hilo mlilokubaliana jana.........Mimi nadhani kama amejipambanua kuwa hayuko pamoja na nyinyi katika Hilo hawezi kuitwa mnafiki......
Mpango ulikuwa Selasini apindue meza Ili awapokee COVID watapotimuliwa.Imeripotiwa kwamba Mamluki Joseph Selasini , aliyeongoza Mapinduzi haramu ndani ya Chama cha NCCR MAGEUZI ametimuliwa rasmi baada ya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumtambua rasmi Mbatia kuwa Mwenyekiti halali wa chama hicho.
Wengine kadhaa waliotimuliwa yumo Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Chanzo : Raia Mwema.
Usaliti ni laana.
Ndio tujue kuwa siasa ni kazi tu ya kuingiza kipato kama kazi nyingine yeyote ile !! Habari ya kuwapigania wananchi hizo huwa ni abracadabra tu !!! Tusikate tamaa hakika Muumba yu pamoja nasi !! Ukiona giza limezidi ujue karibu kunapambazuka !!Duh aende TLP sasa
Maana wanasiasa wanahama kama
Wanacheza drafti tu
Ova
Kwa unataka alichokifanya Selasini tukiiteje labda?Hivi ni kwanini watu wa vyama vya siasa hapa nchini mtu waliyetofautiana naye itikadi wanamuita msaliti......??
Watu wengi wa vyama vya siasa ni washabiki wa demokrasia lakini sio waumini wa demokrasia.......kwao demokrasia ni kuwa na mawazo na fikra wanazozipenda wao.......maoni au utashi wako ukienda kinyume na nafsi zao.....ndio unaziona rangi zao halisi............
Harakati za kupambania demokrasia hapa nchini bado Zina safari ndefu sana kwa kuwa hata hao wanaojipambanua kuwa Wana harakati wa demokrasia ndio watu kwa kwanza kuivunja demokrasia......
Sote tunaona matusi yanayoporomoshwa humu na watu wanaojiita watu demokrasia dhidi ya mtu au watu walioamua kuwaza tofauti matamanio ya nafsi zao.........
NB;
Hatua ya kwanza ya kuelekea kwenye kukomaa kidemokrasia ni kuimarisha kiwango chako Cha uvumilivu.....
Aende kwa wasaliti wenzie ACTImeripotiwa kwamba Mamluki Joseph Selasini, aliyeongoza Mapinduzi haramu ndani ya Chama cha NCCR MAGEUZI ametimuliwa rasmi baada ya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumtambua rasmi Mbatia kuwa Mwenyekiti halali wa chama hicho.
Wengine kadhaa waliotimuliwa yumo Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Chanzo: Raia Mwema.
Usaliti ni laana.
Yupo kimya anakula mema ya nchi kwenye kikosa kaziDuh sasa sijui atakimbilia wapi labda ACT Wazalendo akaungane na Msaliti aliyechangamka zaidi.
Unadhani hayo ni matokeo ya form IV wajitangazie tu? unaijua Kenya vizuri wewe?Idiot
Hivi ni kwanini watu wa vyama vya siasa hapa nchini mtu waliyetofautiana naye itikadi wanamuita msaliti?
Watu wengi wa vyama vya siasa ni washabiki wa demokrasia lakini sio waumini wa demokrasia.......kwao demokrasia ni kuwa na mawazo na fikra wanazozipenda wao.......maoni au utashi wako ukienda kinyume na nafsi zao.....ndio unaziona rangi zao halisi.
Harakati za kupambania demokrasia hapa nchini bado Zina safari ndefu sana kwa kuwa hata hao wanaojipambanua kuwa Wana harakati wa demokrasia ndio watu kwa kwanza kuivunja demokrasia.
Sote tunaona matusi yanayoporomoshwa humu na watu wanaojiita watu demokrasia dhidi ya mtu au watu walioamua kuwaza tofauti matamanio ya nafsi zao.
NB; Hatua ya kwanza ya kuelekea kwenye kukomaa kidemokrasia ni kuimarisha kiwango chako Cha uvumilivu.
Toka huko...Unadhani hayo ni matokeo ya form IV wajitangazie tu? unaijua Kenya vizuri wewe?
Asante ndugu kwa kuchukua muda wako na kunitanabaisha kinaga ubaga.......sitaki kutoka mbali na msingi wa maelezo yako kwani ulichokiandika kimeakisi ukweli mzima wa hali ilivyo kwenye jamii yetu na Jf ikiwa ni sehemu ya jamii hiyo...........Ni tatizo la jamii nzima ya Watanzania.
..Wengi hatujalelewa ktk utamaduni wa kushindana kwa hoja bila kutukanana au character assasination.
..Tangu enzi za Tanu na baadae Ccm na sasa vyama vingi utamaduni wa kuitana majina mabaya umelelewa hapa nchini.
..Kwa mfano, Tanu walipopishana na Shekhe Takadiri wakaanza kumuita " Takadiri mtaka dini" badala ya kujadili hoja zake na kuzipangua.
..Oscar Kambona alipotofautiana na Nyerere hatukujadili hoja zake badala yake Tanu wakaanza kumuimba " Kambona kaolewa ulaya.."
..Hali hiyo imeendelea kiasi kwamba imekuwa ndio UTAMADUNI wetu. Unaweza kuiona hata hapa JF ambapo hoja nyingi huishia kwa wachangiaji kutupiana vijembe, au kutukanana.
Mapinduzi ndo utaratibuHivi ni kwanini watu wa vyama vya siasa hapa nchini mtu waliyetofautiana naye itikadi wanamuita msaliti?
Watu wengi wa vyama vya siasa ni washabiki wa demokrasia lakini sio waumini wa demokrasia.......kwao demokrasia ni kuwa na mawazo na fikra wanazozipenda wao.......maoni au utashi wako ukienda kinyume na nafsi zao.....ndio unaziona rangi zao halisi.
Harakati za kupambania demokrasia hapa nchini bado Zina safari ndefu sana kwa kuwa hata hao wanaojipambanua kuwa Wana harakati wa demokrasia ndio watu kwa kwanza kuivunja demokrasia.
Sote tunaona matusi yanayoporomoshwa humu na watu wanaojiita watu demokrasia dhidi ya mtu au watu walioamua kuwaza tofauti matamanio ya nafsi zao.
NB; Hatua ya kwanza ya kuelekea kwenye kukomaa kidemokrasia ni kuimarisha kiwango chako Cha uvumilivu.
Ukiwa mwanasiasa unayehama kwa tamaa ya cheo,au fursa lazima utaaibika wakati ukifika.Imeripotiwa kwamba Mamluki Joseph Selasini, aliyeongoza Mapinduzi haramu ndani ya Chama cha NCCR MAGEUZI ametimuliwa rasmi baada ya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumtambua rasmi Mbatia kuwa Mwenyekiti halali wa chama hicho.
Wengine kadhaa waliotimuliwa yumo Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Chanzo: Raia Mwema.
Usaliti ni laana.
MSALITI ZITTO[emoji1787][emoji1787]Duh sasa sijui atakimbilia wapi labda ACT Wazalendo akaungane na Msaliti aliyechangamka zaidi.
Hata wa kujamiiana ww umeona wapi umri alionao mtu anaweka nywele na ndevu rangi kama Defao?Malaya wa kisiasa