GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
This is Tanzanian Politik,
Joseph Salasini alikimbia Chadema kama mamluki akapokelewa na James Mbatia NCCR Mageuzi kwa mbwembwe na vifijo
Leo Joseph Selasini mtu wa kuja na hata miaka mitano hana anaamua kumtimua mwenyekiti wake bwana Mbatia wa NCCR Mageuzi
Watch what will happen in the next few weeks,
James Mbatia atahamia Chadema na ataapokelewa kwa Mbwembwe chadema
James Mbatia akiwa Chadema atawalaghai na kuanza kupambana awe mwenyekiti na huu ndio utakuwa mwisho wa Freeman Mbowe
Hakuna kitu cha bahati mbaya, Haya yote ni pre planned
Hii mission Chadema wakiweza kupona hapa basi haitakufa tena
Wapinzani kila wakivurugana wenyewe wanatusingizia ni sisi ccm tumewavuruga, Kwenye hili tumewapa hints kidogo kuwa mnavurugana wenyewe
I say never under estimate James Mbatia
Pascal Mayalla anamfahamu vizuri who is Mbatia in this country, The role of Mbatia Katika siasa zetu tangu 1992
Joseph Salasini alikimbia Chadema kama mamluki akapokelewa na James Mbatia NCCR Mageuzi kwa mbwembwe na vifijo
Leo Joseph Selasini mtu wa kuja na hata miaka mitano hana anaamua kumtimua mwenyekiti wake bwana Mbatia wa NCCR Mageuzi
Watch what will happen in the next few weeks,
James Mbatia atahamia Chadema na ataapokelewa kwa Mbwembwe chadema
James Mbatia akiwa Chadema atawalaghai na kuanza kupambana awe mwenyekiti na huu ndio utakuwa mwisho wa Freeman Mbowe
Hakuna kitu cha bahati mbaya, Haya yote ni pre planned
Hii mission Chadema wakiweza kupona hapa basi haitakufa tena
Wapinzani kila wakivurugana wenyewe wanatusingizia ni sisi ccm tumewavuruga, Kwenye hili tumewapa hints kidogo kuwa mnavurugana wenyewe
I say never under estimate James Mbatia
Pascal Mayalla anamfahamu vizuri who is Mbatia in this country, The role of Mbatia Katika siasa zetu tangu 1992