Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
- Thread starter
- #21
Huyu ndio alimng'oa Mramba kule Rombo.
Wananchi walimpigia kura za HASIRA baada ya Mramba kuwatukana kina mama wa Rombo.
Sasa yupi afadhali, huyu au Mramba?
Mkuu, kwa ninavyomfahamu mramba na jinsi huyu jamaa alivyotoroka kambi leo, ni sawa na kuulizwa kati ya mvua na jua bora nini