Mimi ni mwana Rombo na mkereketwa wa maendeleo ya wilaya ya Rombo na taifa zima kwa ujumla hasa katika sekta nyeti ya ELIMU. Mbunge wangu Josephy Selasini kimya kimezidi hatukusikii ukiendesha harakati za maendeleo.
Pengine unaziendeleza ila huweki wazi katika vyombo vya habari maana wengine hatupo jimboni, tupo sehemu mbalimali za Tanzanaia na dunia kwa ujumla. Tuna mawazo mengi sana chanya ambayo tungekushirikisha wewe kama mbunge yangesukuma mbele gurudumu hili la maendeleo. Tupo vijana wasomi wa fani mbalimbali ambao tunaweza kushirikiana na wewe katika kubuni mbinu mbalimbali za kuboresha na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni mwetu. Ushauri wangu ni huu mheshimiwa.
Andaa mkutano wa wana Rombo wote waishio Dar es salaam na sehemu nyingine kwa lengo la kuwaleta watu pamoja ili tuweze kutafakari na kubuni ni kwa namna gani maendeleo ya Rombo yanaweza yakaboreshwa haraka iwezekanavyo.
Mwisho nakutakia maendeleo mazuri katika shughuli zako.
Nafikiri ni wa CHADEMA?tumezoea bogus wako CCM,sasa ilikuwaje?:laugh::laugh:
Heshima kwako Dyslexia,
Hapana huyu si mbunge wa CHADEMA atakuwa ni mbunge wa NCCR Mageuzi hapana labda ni wa UDP kwa Bwana Mapesa au inawezekana anawakilisha TLP siunajua tena kile chama kina watu wehu kama mwenyekiti wao.Siku zote wabunge na Viongozi wa CHADEMA wako right hawezi kuongea upupu kama wa Selasini ebo nachoka mwaka huu tutaona mengi.
Halafu wewe dada mbona jina lako gumu hivi linatamkwaje ?.
Kapongeza mwenyekiti wake atakuwa yeye?
Ni wa CHADEMA,,yapo ma-bogus huko mi nayamezea tu,watayaona wenyewe!!naona ilikuwa bora yeyote mradi si Mramba,wakachukua huyo jamaa,na ni CCM mzuri ni vile tu walimnyima gombea akaenda CHADEMA kama alivyo Shibuda,kazi ipo kubwa sana,bado hatujaona!!!:laugh::laugh:
Ni wa CHADEMA,,yapo ma-bogus huko mi nayamezea tu,watayaona wenyewe!!naona ilikuwa bora yeyote mradi si Mramba,wakachukua huyo jamaa,na ni CCM mzuri ni vile tu walimnyima gombea akaenda CHADEMA kama alivyo Shibuda,kazi ipo kubwa sana,bado hatujaona!!!:laugh::laugh:
hapo sisiem ndo wajiulize inakuwaje mgombea wao anashindwa na mtu bogus, either mgombea wao ni bogus zaidi au watu wamechoka wapo tayari kuchagua jiwe kuliko sisiem
:coffee:
Mbona haujaniambia asili ya jina lako linatamkwaje ?.Unajua nimelipenda.
Nafikiri ni wa CHADEMA?tumezoea bogus wako CCM,sasa ilikuwaje?:laugh::laugh:
Huyu ndio alimng'oa Mramba kule Rombo.
Wananchi walimpigia kura za HASIRA baada ya Mramba kuwatukana kina mama wa Rombo.
Sasa yupi afadhali, huyu au Mramba?