Nimesikia kuwa hawa wabunge kura hazikutosha ningependa kupata taarifa sahihi
Hakuna mgombea ubunge anayeitwa Joseph Nyerere.
Nimesikia kuwa hawa wabunge kura hazikutosha ningependa kupata taarifa sahihi
Hali sio nzuri lembeli kura hazikutosha
Angebaki wapi? alikatwa ndio maana akakimbia, ingawa jamaa ni mzuri lakini basi tena ndio hivyowakati mwingine tatizo huwa halitatuliwi kwa kulikimbia! Nina uhakika angebaki CCM angeshinda asubuhi tu!!
Angebaki wapi? alikatwa ndio maana akakimbia, ingawa jamaa ni mzuri lakini basi tena ndio hivyo
Niliongea mimi Jana, Kinachotokea kahama ni ukiukwaji wa Democrasia,But Siku inakujaNimesikia kuwa hawa wabunge kura hazikutosha ningependa kupata taarifa sahihi
Angebaki wapi? alikatwa ndio maana akakimbia, ingawa jamaa ni mzuri lakini basi tena ndio hivyo