Joseph Msukuma ni nani?

CV - Curriculum Vitae, a brief account of a person's education, qualifications, and previous occupations, typically sent with a job application.

Education Background:
1979 - 1986 Primary School Fulwe Primary School CPEE
==================================
Appointments in political institutions:
2010 - 2010 Councillor Chama Cha Mapinduzi
2011 - 2011 Chairman-Geita Council Chama Cha Mapinduzi
2012 - 2015 Chairman-Geita Region Chama Cha Mapinduzi
==================================
Work experience:
Nill
 
std 7 ya 'kuungaunga' kama manati.
Ni vzr sasa kuwepo na kipengele cha mtu kugombea ubunge, angalao awe na degree 1 tuachane na hawa watu wa mipasho Bungeni na wasio na tija kwa taifa.
 
Huyo ni Mhutu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!
Mkuu Lusungo , kwanza asante kwa hii, kiukweli huyu jamaa ni habari nyingine!, mimi baada ya kuangalia zile two series za makala kuhusu historia ya maisha yake, niliwahi kusema kitu kumhusu mtu huyu, na kila nikimsikiliza hoja zake, japo sometimes ana hoja za msingi sana, lakini huyu jamaa ni issue! GEITA: Msukuma amshusha cheo mkuu wa shule kwa kukataa Magufuli club kufanyia mahafali shuleni!

Hata niliposema hivi kutuhusu sisi Watanzania, Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
Nikimsikiliza mtu kama huyu na baadhi ya hoja zake, kiukweli kabisa, I was right, hili bandiko lina msadifu!.

Update,
Nilikuja kuongea nae, huyu jamaa ni kichwa mbaya msikilize hapa
View: https://youtu.be/5UVkfnK598o?si=D9tC_u4xVYVWGE28Na hapa

View: https://youtu.be/U7sOXItd6P0?si=kko3Hg-jrZWdzkpOP
 
Ana kipaji cha kuongea na kupanga hoja, shida kubwa ni elimu. Angekuwa na elimu ya kutosha angefika mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…