Joseph Mbilinyi (SUGU) awasha moto Serena Hotel kwenye birthday yake, Rais Samia ahudhuria

Sawa James Mbowe.
 
Na mimi naungana na Sugu kumshukuru raisi, yule mwingine alikataa siyo tu kumtibu Lissu bali ata asiombewe kwa Mungu
Kwani maombi lazima mpige mikelele kwa pamoja, mkiomba mmoja mmoja mungu hasikii ama Magufuli aliingia hadi mioyoni mwenu akazuia maombi yasifike kwa mungu?
 
Waacheni watu waishi Maisha yao.
 
ASANTE kwa Shukurani kwa RAIS WETU

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hawa wasanii sijui pesa wanapeleka wapi jay tangu kitambo na ubunge juu hawezi kujitibia na mkewake anamiliki shule lakini bado tu

USSR
Unajua gharama za kutibu Figo Mkuu ? ,We unasema Prof Jay,Mobutu sese sell tu wakati wa mwisho wa uhai wake ili reportiwa Ana wakati mgumu kulipa bills
Na hapo kawa Rais Miaka zaidi ya 31 na Ana majumba na Mali nyingi lakini cash ilikata
 
Hawa wasanii sijui pesa wanapeleka wapi jay tangu kitambo na ubunge juu hawezi kujitibia na mkewake anamiliki shule lakini bado tu

USSR
Kuna muda ukibaki kimya inakupa heshima zaidi kuliko kubwabwaja tu,
Unajua gharama ya matibabu ya Joseph kwa siku? Unajua ni muda gani amekuwa kitandani?
Ukipata majibu, unaweza futa comment yako ili kulinda heshima uliyo nayo..
Nikukumbushe ugonjwa ni liability wala sio investment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…