Standalone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 676
- 576
Joseph Mbilinyi(MB) mbunge wa Mbeya Mjini amekuwa mastari wa mbele sio tu kwa kueneza elimu ya Uraia ndani ya Mkoa wa mbeya bali kwa kutekeleza ahadi zake kama mbunge...
Tuungane pamoja kumpongeza kwa kazi nzuri ambayo haiihitaji uprofesa kuona.
Pichani chini: Mbunge Sugu akiendelea na zoezi la kufunga kompyuta mashuleni, hapa ni sekondari ya Iganzo jimboni kwake Mbeya.
Tuungane pamoja kumpongeza kwa kazi nzuri ambayo haiihitaji uprofesa kuona.
Pichani chini: Mbunge Sugu akiendelea na zoezi la kufunga kompyuta mashuleni, hapa ni sekondari ya Iganzo jimboni kwake Mbeya.