Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,358
- 127,729
Chama hakijatoa tamko,ila kama kafukuzwa huo utakua udikteta
Kila anayefukuzwa ni kwasababu ya udictator?
Chama hakijatoa tamko,ila kama kafukuzwa huo utakua udikteta
Marcus ni Genius kipanga haswaa maisha yake hayahitaji ChademaSugu amefanya jambo la maana sana. Anapaswa kupongezwa.
NB: nje ya mada, je ni kweli Marcus Albanie amefukuzwa CDM?
Nitashukuru kwa taarifa hiyo boss.Sijui lolote ? bali natambua kwamba mtu hufukuzwa na vikao vya chama , sijaona wala kusikia kikao kilichokaliwa kwa ajili hiyo , halafu afukuzwe kwa lipi hasa ?
Ngoja nichunguze
Sio kila anaefukuzwa, nazungumzia kama kweli kafukuzwa watakua hawajatenda haki kwa kosa gani alilo tendaKila anayefukuzwa ni kwasababu ya udictator?
Safi sana. Ni sawa na viwanja vya Mwananyamala walikuwa wanakabidhiwa TANU na Mzee Tambaza. Ni vya TANU, siyo vya umma. Na vya Sugu ni vya CHADEMA, siyo vyake tena kama Waarabu wa CUF walivyonyanganya majumba ya Mjimkongwe waliyowapa CUF lakini lilipoingia liprofessor Lipumba wakawanyanganya tena. Na Sugu akihamia CCM kesho wasiwe na hofu, bado yao.Katika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.
Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.
Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.
Mwisho wa ccm umefika rasmi , hiyo ndio sherehe yetuKusema ukweli tulivurugwa tukavurugika.
leo Tanzania ndiyo ya kusherehekea kweli uruhuswaji wa mikutano ya kisiasa ambayo ilikuwa ipo halali kikatiba?
Kile ni kichawi, ukisikia Mchawi Karaba ndio yuleKile ki manzi chake faiza hata hii kitamind
People's wakowapi waliosema Chadema imekufa anzeni kuishuhudia Sasa nyomi kwenye mikutano ya hazara mkiwa Mngali hai hamjafa
HatariPeople's wakowapi waliosema Chadema imekufa anzeni kuishuhudia Sasa nyomi kwenye mikutano ya hazara mkiwa Mngali hai hamjafa.
Mungu ibariki ChademaWell done Joseph Mbilinyi that’s what we call patriotism.
Lucas mwashambwa hebu soma uzi huuKatika kusherehekea sikukuu ya Uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iliyofanyika Ikulu ya Magogoni , huko Mjini Mbeya, Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi AMEIPA CHADEMA KIWANJA KIKUBWA kwa ajili ya kujenga Majengo ya Chama hicho.
Amekabidhi Kiwanja hicho kinachopakana na barabara kuu kwa viongozi wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, ambapo amesema anataka abiria kutoka Congo au Zambia wakiwa kwenye basi la TAQWA wawe wanaliona Jengo la Chadema Mbeya Mjini.
Kwa niaba yangu binafsi nachukua nafasi hii kumshukuru Mwekezaji huyu kwa msaada wake huu.