Tume huru nyama uchaguzi ndio itaweka kila kitu kwenye mstari sahihi. Ccm nunueni sana wapinzani hasa cdm, ila tume huru ya uchaguzi ndio habari mjini.
Chama cha siasa kinachotumia hila ya kununua waliochaguliwa na wananchi kwa kukitaa ni mfu. Hasira ya wananchi inazidi dhidi ya chama hicho. Mpango huu utakigharimu zaidi ya gharama ya fedha zinazotumika katika kushawishi usaliti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.