Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Baada ya kupokea tena kichapo kutoka kwa Southampton jana amesema hakuna jinsi atajiuzulu kuifundisha club hiyo maarufu iliyopo darajani Stamford. CNN
Kuna tatizo linalo pelekea timu kufungwa si bure.
...hana tofauti na ccm kwa sasa aondoke tu watu wanataka mabadiliko anataka kuleta u Blatter na u ccm kwenye mabadiliko...? asepe tu.....