Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 87
Shukran!
Nitawatafuta kwa simu, nipate location ya ofisi na yard zenu hapo Dar
Nitawatafuta kwa simu, nipate location ya ofisi na yard zenu hapo Dar
Hello Tunaweza kukuagizia gari unalopenda process nzima inaweza kuchukua kati ya mwezi mmoja au mwezi moja na week moja...Cami ID NO 00083 4WD 12,500,000 Tsh.. Pia kuna Pajeri JR ID NO 00082 4WD 8,000,000 Tsh...Unaweza kuona picha fungua www.jordanexpress.co.tz karibu sana.