Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
heshima yako mkuu bantalanda.View attachment 33605View attachment 33605Hizi ni salamu zetu kwenu.....
heshima yako mkuu bantalanda.View attachment 33605View attachment 33605Hizi ni salamu zetu kwenu.....
Huko kuchapia heading kulitokana na hekaheka za kikao kizito cha kuamua mwanaume achukue ndoo!!Hahaaaaaa.......Watani kweli mna kimuhemuhe na game ya kesho......Mpaka mnachapia heading(breaking newa......lol..)Hii naidedicate kwa watani zangu Saint Ivuga, Masuke, Jason bourne, BAK, MTM, zumbemkuu na mishikaki mingine(wanyama) yote......
balantanda mkuu wangu weka poll .wekeni basi poll afu tuone..
Jamani mbona mmepotea ghafla kama umeme wa TANESCO?Tambo za nini? Tukutane kesho mida hii.
wataonekana ligi ikianza!1Hawa jamaa wako hai kweli?
Naona wameingia mitini kiaina au ndio jana walizimia kwenye ambulance iliyokuwa inamulikia kidume kikabidhiwe ndoo?zumbe mkuu,si na wenzako jitokezeni basi kama nyie ni simba kweli?
Paka nyie.
Mtu mzima ovyoo, Simba kasimbwa aka kapakatwaHivi Simba na Yanga ndio kitu gani?
Hv wewe umekuwaje cku hizi? Ama ndiyo hivyo? Ukiona kimya ujuwe ndiyo hivyo.Kidogo jioni hii najisikia nafuu!