Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Uongozi mzima wa CECAFA ulioketi jioni hii ukishirikisha vilabu vyote vilivyo shiriki michuano ya cecafa 2011 wamekubaliana kwa kauli moja chini ya usimamizi wa mahakama ya michezo ya dunia iliyowakilishwa na Duastr Long kuwa kutokana na kiwango kilichoonyeshwa na Mnyama hakuna haja ya fainali hivyo kuwapunguzia presha,Bp,sheli na Gapco wapinzani wetu Yeboyebo aka bibi harusi!
Hivyo tangu sasa Wanalunyasi,Mnyama,The Killers,Mume wa Yeboyebo ametangazwa kuwa bingwa wa Kagame Cup 2011
Mwinye kununa na anune! Ukinitusi unajihatarishia Burn ya maisha!!!
Hivyo tangu sasa Wanalunyasi,Mnyama,The Killers,Mume wa Yeboyebo ametangazwa kuwa bingwa wa Kagame Cup 2011
Mwinye kununa na anune! Ukinitusi unajihatarishia Burn ya maisha!!!