PreGE2025 Jokate Mwegelo apewa uteuzi na Askofu Ndimbo

PreGE2025 Jokate Mwegelo apewa uteuzi na Askofu Ndimbo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM Jokate June 25,2025 amefika Mbinga na kumuhakikishia Askofu Ndimbo kwamba amekubali uteuzi huo na atahakikisha anaratibu ili kukusanya Tsh. bilioni 1.5 ambayo inahitajika ili kuzikabili changamoto zinazoikabili Seminari hiyo.

KM Jokate amesema “Tumekuja hapa baada ya kupokea barua ya kutuomba tushirikiane na Jimbo la Mbinga kupitia Baba Askofu Ndimbo kwamba kuna Likonde Seminari ambayo inatimiza miaka 65 mwaka huu na sisi ni Wadau wa Wilaya hii ya Mbinga basi tushirikiane kuona jinsi gani tutafanya ukarabati, binafsi naiona Seminari hii kama nembo ya Mbinga, tumekuja kuona mazingra baada ya kupokea barua ili kuboresha pawe rafiki kwa Vijana wanaokuja kupata elimu, nakupongeza Baba Askofu na tunakutia moyo mungu aendelee kukutumia kwa ajili ya Wana Mbinga

Seminari ya Likonde kwa zaidi ya miaka 60 imekuwa ikihudumia Jamii kubwa ya Kitanzania hasa kwa wenye kipato cha chini lakini kwa sasa Shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu mkubwa wa miundombinu yake ikiwemo madarasa, ofisi, mabweni, maabara, maktaba, mifumo ya maji na vyoo hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mazingira ya ujifunzaji ambapo akiongea leo Askofu Ndimbo amemshukuru KM Jokate kwa kukubali kuongoza uhamasishaji huo ili kuwasaidia Wanafunzi wengi zaidi.

Wadau wengine wa Mbinga wakiwemo Viongozi ambao wameteuliwa kuratibu ukarabati huo ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda ambaye ni Katibu wa Kamati ya ukarabati pamoja na Wajumbe wa Kamati akiwemo Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito, Mbunge wa Mbinga Vijijini, Beneya Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, Judge Dunstan Ndunguru , Faustine Njelekera na aliyekuwa DC Tarime, Glorious Luoga.
1750934123869.png


Chanzo:HabariMpya
 
alafu anatokea mjinga moja anataka kupoteza kura yake kwa kutokuweka alama ya vema kwa mama
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM Jokate June 25,2025 amefika Mbinga na kumuhakikishia Askofu Ndimbo kwamba amekubali uteuzi huo na atahakikisha anaratibu ili kukusanya Tsh. bilioni 1.5 ambayo inahitajika ili kuzikabili changamoto zinazoikabili Seminari hiyo.

KM Jokate amesema “Tumekuja hapa baada ya kupokea barua ya kutuomba tushirikiane na Jimbo la Mbinga kupitia Baba Askofu Ndimbo kwamba kuna Likonde Seminari ambayo inatimiza miaka 65 mwaka huu na sisi ni Wadau wa Wilaya hii ya Mbinga basi tushirikiane kuona jinsi gani tutafanya ukarabati, binafsi naiona Seminari hii kama nembo ya Mbinga, tumekuja kuona mazingra baada ya kupokea barua ili kuboresha pawe rafiki kwa Vijana wanaokuja kupata elimu, nakupongeza Baba Askofu na tunakutia moyo mungu aendelee kukutumia kwa ajili ya Wana Mbinga

Seminari ya Likonde kwa zaidi ya miaka 60 imekuwa ikihudumia Jamii kubwa ya Kitanzania hasa kwa wenye kipato cha chini lakini kwa sasa Shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu mkubwa wa miundombinu yake ikiwemo madarasa, ofisi, mabweni, maabara, maktaba, mifumo ya maji na vyoo hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mazingira ya ujifunzaji ambapo akiongea leo Askofu Ndimbo amemshukuru KM Jokate kwa kukubali kuongoza uhamasishaji huo ili kuwasaidia Wanafunzi wengi zaidi.

Wadau wengine wa Mbinga wakiwemo Viongozi ambao wameteuliwa kuratibu ukarabati huo ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda ambaye ni Katibu wa Kamati ya ukarabati pamoja na Wajumbe wa Kamati akiwemo Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito, Mbunge wa Mbinga Vijijini, Beneya Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, Judge Dunstan Ndunguru , Faustine Njelekera na aliyekuwa DC Tarime, Glorious Luoga.
View attachment 3384439

Chanzo:HabariMpya
kUCHANGANYA SIASA NA DINI
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM Jokate June 25,2025 amefika Mbinga na kumuhakikishia Askofu Ndimbo kwamba amekubali uteuzi huo na atahakikisha anaratibu ili kukusanya Tsh. bilioni 1.5 ambayo inahitajika ili kuzikabili changamoto zinazoikabili Seminari hiyo.

KM Jokate amesema “Tumekuja hapa baada ya kupokea barua ya kutuomba tushirikiane na Jimbo la Mbinga kupitia Baba Askofu Ndimbo kwamba kuna Likonde Seminari ambayo inatimiza miaka 65 mwaka huu na sisi ni Wadau wa Wilaya hii ya Mbinga basi tushirikiane kuona jinsi gani tutafanya ukarabati, binafsi naiona Seminari hii kama nembo ya Mbinga, tumekuja kuona mazingra baada ya kupokea barua ili kuboresha pawe rafiki kwa Vijana wanaokuja kupata elimu, nakupongeza Baba Askofu na tunakutia moyo mungu aendelee kukutumia kwa ajili ya Wana Mbinga

Seminari ya Likonde kwa zaidi ya miaka 60 imekuwa ikihudumia Jamii kubwa ya Kitanzania hasa kwa wenye kipato cha chini lakini kwa sasa Shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu mkubwa wa miundombinu yake ikiwemo madarasa, ofisi, mabweni, maabara, maktaba, mifumo ya maji na vyoo hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mazingira ya ujifunzaji ambapo akiongea leo Askofu Ndimbo amemshukuru KM Jokate kwa kukubali kuongoza uhamasishaji huo ili kuwasaidia Wanafunzi wengi zaidi.

Wadau wengine wa Mbinga wakiwemo Viongozi ambao wameteuliwa kuratibu ukarabati huo ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda ambaye ni Katibu wa Kamati ya ukarabati pamoja na Wajumbe wa Kamati akiwemo Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito, Mbunge wa Mbinga Vijijini, Beneya Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, Judge Dunstan Ndunguru , Faustine Njelekera na aliyekuwa DC Tarime, Glorious Luoga.
View attachment 3384439

Chanzo:HabariMpya
Katoloki ni optunists
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM Jokate June 25,2025 amefika Mbinga na kumuhakikishia Askofu Ndimbo kwamba amekubali uteuzi huo na atahakikisha anaratibu ili kukusanya Tsh. bilioni 1.5 ambayo inahitajika ili kuzikabili changamoto zinazoikabili Seminari hiyo.

KM Jokate amesema “Tumekuja hapa baada ya kupokea barua ya kutuomba tushirikiane na Jimbo la Mbinga kupitia Baba Askofu Ndimbo kwamba kuna Likonde Seminari ambayo inatimiza miaka 65 mwaka huu na sisi ni Wadau wa Wilaya hii ya Mbinga basi tushirikiane kuona jinsi gani tutafanya ukarabati, binafsi naiona Seminari hii kama nembo ya Mbinga, tumekuja kuona mazingra baada ya kupokea barua ili kuboresha pawe rafiki kwa Vijana wanaokuja kupata elimu, nakupongeza Baba Askofu na tunakutia moyo mungu aendelee kukutumia kwa ajili ya Wana Mbinga

Seminari ya Likonde kwa zaidi ya miaka 60 imekuwa ikihudumia Jamii
kubwa ya Kitanzania hasa kwa wenye kipato cha chini lakini kwa sasa Shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu mkubwa wa miundombinu yake ikiwemo madarasa, ofisi, mabweni, maabara, maktaba, mifumo ya maji na vyoo hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mazingira ya ujifunzaji ambapo akiongea leo Askofu Ndimbo amemshukuru KM Jokate kwa kukubali kuongoza uhamasishaji huo ili kuwasaidia Wanafunzi wengi zaidi.

Wadau wengine wa Mbinga wakiwemo Viongozi ambao wameteuliwa kuratibu ukarabati huo ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda ambaye ni Katibu wa Kamati ya ukarabati pamoja na Wajumbe wa Kamati akiwemo Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito, Mbunge wa Mbinga Vijijini, Beneya Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, Judge Dunstan Ndunguru , Faustine Njelekera na aliyekuwa DC Tarime, Glorious Luoga.
 

Attachments

  • IMG-20250626-WA0273.jpg
    IMG-20250626-WA0273.jpg
    212 KB · Views: 18
Haya mambo ndiyo yatafanya wanasiasa waendelee kuongea kwenye misa za RC!
Wataongea katika utaratibu mwingime sio ule wa zamani. Lakini pia, muhtasari wa utekelezaji utasomwa na Paroko au Askofu wa Jimbo.
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ameteuliwa na Askofu John Chrysostom Ndimbo wa Jimbo Katoliki la Mbinga kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu upatikanaji wa fedha na vifaa kwa ajili ya ukarabati wa Shule ya Likonde Seminari ambapo KM Jokate June 25,2025 amefika Mbinga na kumuhakikishia Askofu Ndimbo kwamba amekubali uteuzi huo na atahakikisha anaratibu ili kukusanya Tsh. bilioni 1.5 ambayo inahitajika ili kuzikabili changamoto zinazoikabili Seminari hiyo.

KM Jokate amesema “Tumekuja hapa baada ya kupokea barua ya kutuomba tushirikiane na Jimbo la Mbinga kupitia Baba Askofu Ndimbo kwamba kuna Likonde Seminari ambayo inatimiza miaka 65 mwaka huu na sisi ni Wadau wa Wilaya hii ya Mbinga basi tushirikiane kuona jinsi gani tutafanya ukarabati, binafsi naiona Seminari hii kama nembo ya Mbinga, tumekuja kuona mazingra baada ya kupokea barua ili kuboresha pawe rafiki kwa Vijana wanaokuja kupata elimu, nakupongeza Baba Askofu na tunakutia moyo mungu aendelee kukutumia kwa ajili ya Wana Mbinga

Seminari ya Likonde kwa zaidi ya miaka 60 imekuwa ikihudumia Jamii kubwa ya Kitanzania hasa kwa wenye kipato cha chini lakini kwa sasa Shule hiyo inakabiliwa na changamoto ya uchakavu mkubwa wa miundombinu yake ikiwemo madarasa, ofisi, mabweni, maabara, maktaba, mifumo ya maji na vyoo hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mazingira ya ujifunzaji ambapo akiongea leo Askofu Ndimbo amemshukuru KM Jokate kwa kukubali kuongoza uhamasishaji huo ili kuwasaidia Wanafunzi wengi zaidi.

Wadau wengine wa Mbinga wakiwemo Viongozi ambao wameteuliwa kuratibu ukarabati huo ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda ambaye ni Katibu wa Kamati ya ukarabati pamoja na Wajumbe wa Kamati akiwemo Mbunge wa Madaba, Dkt. Joseph Kizito, Mbunge wa Mbinga Vijijini, Beneya Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, Judge Dunstan Ndunguru , Faustine Njelekera na aliyekuwa DC Tarime, Glorious Luoga.
View attachment 3384439

Chanzo:HabariMpya
Tamaa ya pesa imewafanya viongozi wengi wa kanisa kuwa mateka wa wanasiasa mafisadi kiasi kwamba hawawezi tena kukemea maovu yao. Materialism!
 
Back
Top Bottom