FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,069
- 40,732
Nimeona video clip ikimuonyesha mwenyekiti wa UWT Jokate Mwegelo akiwapongeza wasichana waliofanya mtihani wa kidato cha 4 huku wakiwa wananyonyesha watoto wachanga wa siku 3 hadi 8.
Frankly speaking mimi binafsi naanza kuona hii nchi sasa tunaongozwa na mataahira, infact nikaja kugundua umemfanyisha mwanangu mtihani na mama anaenyonyesha kwa kweli nitakushtaki kwa msongo wa mawazo utakaokuwa umemsababishia kwa kumfanya ashuhudie kile kitendo, maana anaweza hata akafeli mtihani wenyewe.
Pili hii italeta amsha ya wivu kwa wale wengine ambao hawana watoto, na wataanza kuzitafuta hizo mimba kwa nguvu, wivu ni asili ya binadamu, hakuna anaekubali kupigwa gap kizembe, hivyo wajinga wajinga wengine wataanza kushindana kuzaa na kunyonyesha madarasani ili kujua nani zaidi.
Kama kulikuwa na haja ya wao kufanya mtihani, basi wangetengewa wodi yao ya wazazi wakafanyishwe mtihani kwa siri ili wenzao wasione.., mnaharibu elimu jamani, tunieni busara.
Hizi cheap politics anaziweza Makonda tu, nyie wengine tulieni, mnajidhalilisha
==========================
View: https://www.instagram.com/reel/Czx3n82COZc/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==
Frankly speaking mimi binafsi naanza kuona hii nchi sasa tunaongozwa na mataahira, infact nikaja kugundua umemfanyisha mwanangu mtihani na mama anaenyonyesha kwa kweli nitakushtaki kwa msongo wa mawazo utakaokuwa umemsababishia kwa kumfanya ashuhudie kile kitendo, maana anaweza hata akafeli mtihani wenyewe.
Pili hii italeta amsha ya wivu kwa wale wengine ambao hawana watoto, na wataanza kuzitafuta hizo mimba kwa nguvu, wivu ni asili ya binadamu, hakuna anaekubali kupigwa gap kizembe, hivyo wajinga wajinga wengine wataanza kushindana kuzaa na kunyonyesha madarasani ili kujua nani zaidi.
Kama kulikuwa na haja ya wao kufanya mtihani, basi wangetengewa wodi yao ya wazazi wakafanyishwe mtihani kwa siri ili wenzao wasione.., mnaharibu elimu jamani, tunieni busara.
Hizi cheap politics anaziweza Makonda tu, nyie wengine tulieni, mnajidhalilisha
==========================
View: https://www.instagram.com/reel/Czx3n82COZc/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==