Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

mwenye joining instrction ya msamala ya songea plz anipe nami pia n mdau #@#kaesajrkaesa@gmqil.com
 
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kama kuna yoyote anaye ifahamu Magoma sec school naomba msaada Wa joining instruction...
 
WANAJAMVI NAOMBENI MNISAIDIE JOIN INSTRUCTION YA SHULE YA LUSANGA SECONDARY MNITUMIE KWENYE EMAIL manyasani@gmail.com au whats 0764766574,,,au hata mnisaidie mawasiliano ya mwalimu yeyote hapo shuleni
 
Wadau tafadhali naombeni joining instructuons za kujiunga na Sengerema high School.Natanguliza Shukrani.
 
Jaman wakuu nisaidieni joining instructions ya MAWENZI SEC SCHOOL MOSHI.
dada yangu kachaguliwa kwenda pale advice.
 
jamani anaye jua joining instruction ya malagarasi anisaidie au mawasiliano ya mwl yeyote wa pale
 

aksante kwa wema wako,kama na wengine wangeiga utaratibu huu tungefika mbali
 
kwa mwenye joining insruction au ambaye ana taarifa kuhusu St paul's Liuli secondary iliyopo mkoan Ruvuma (Nyasa) kwa A level nahitaji msaada wako kwani ndugu yangu kachaguliwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…