dogo hostel zipo hasa 1st year wewe BVM usihof utapata mimi mwenyewe nina wakika wa kupata chumba coz ni waziri na tunahostel zetu ila mimi nitaishi mtaaani usihof dogo kila kitu ni pouwa.....jiandae kupiga msuli usiokuwa na likizo kwani BVM...naipa salute ingawa napiga engineering