OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,956
- 25,299
Sanaaa ile movie amekimbiza mnoo...Hahaha! Ila jamaa John wick kaicheza fresh sana.
Si ndio mchizi anaga kwere na RAIA.Halafu inasemekana ndiyo actor ambaye hapendi makuu na yupo cool na fans wake.
Kwa wale wasomjua/wanomjua John Wick mwigizaji maarufu wa muvi kutoka marekani kwa sasa yupo Jiji la kitalii, Geneva of Africa( according to Bill Clinton) Arusha, Tanzania.
Na kesho anaelekea Serengeti. Kwa wale wananzengo wanaoponda A City, watambue kuwa Arusha ni "nembo ya Taifa." Arusha is national icon.
Taifa haliwezi kuendelea bila Arusha.
Long live A town, A city ..
Baadhi ya movies Kali za John Wick ni kama Siberia, John Wick 1,2,3... N.k
Anaebisha aje apa.View attachment 999474
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia jamaa baada ya kucheza Matrix akakatiza kitaa kishenzi media zikamuuliza vipi wewe famous unajichanganya na machizi kitaa jamaa akasema sasa nujifungie ndani ili iweje maana hawa machizi wa kitaa ndio wananunua kazi zanguHalafu inasemekana ndiyo actor ambaye hapendi makuu na yupo cool na fans wake.
John wick namba 3 tayari au bado???Sanaaa ile movie amekimbiza mnoo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetoka mzee baba, ila bdo iko cinema...John wick namba 3 tayari au bado???
Maana jamaa nilimuelewa kwenye Matrix na 47 Ronin
Nasikia jamaa baada ya kucheza Matrix akakatiza kitaa kishenzi media zikamuuliza vipi wewe famous unajichanganya na machizi kitaa jamaa akasema sasa nujifungie ndani ili iweje maana hawa machizi wa kitaa ndio wananunua kazi zangu
Wewe unasemaje????? Auba kakuchanganya niniHahahh Arusha mtabaki kunusa makalio ya Mwanza tu dadeq....
Imetokaaaa ila bdo ipo cinemaaa ..ni balaa mkuu, kama uko A town sogea maeneo ya complex au boogaloo ule maisha ...John ni balaa manJohn Wick 3 bado kutoka. Pia kuna kitu kinaitwa 47 Ronin
John Wick ni jina la movie zake, yani 1,2, na 3 hii mpya. Ila wengi wanamjua kwa jina ilo...Anaitwa Keanu Reevessio John Wick
"ᴬ ᵐᵃⁿ ʷʰᵒ ˢᵗᵃⁿᵈˢ ᶠᵒʳ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ʷⁱˡˡ ᶠᵃˡˡ ᶠᵒʳ ᵃⁿʸᵗʰⁱⁿᵍ"
UnathemaajeWewe unasemaje????? Auba kakuchanganya niniaondoki banaa
Mwanza upo tano bora kwenye mikoa zaidi masikini Tanzania.