bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Baada ya matokeo ya uchaguzi Arumeru kuthibitisha kuwa Chadema ndio chaguo halisi la wananchi, tukumbuke kauli zenye utata zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya MAWAKALA WA CCM
John Tendwa msajili wa vyama vya siasa alimuonya kamanda Lema asifike Arumeru kwakuwa damu itamwagika kwa mujibu wa washiri. John Tendwa sasa aitishe press conference na atuambie je atawafanya nini wale waliomdanganya na hivyo yeye kuliongopea taifa??
Na kwa kauli yake hiyo ambayo haikutokea licha ya kamanda lema kuweka kambi Arumeru, kwanini Tendwa asijiuzulu?
John Tendwa msajili wa vyama vya siasa alimuonya kamanda Lema asifike Arumeru kwakuwa damu itamwagika kwa mujibu wa washiri. John Tendwa sasa aitishe press conference na atuambie je atawafanya nini wale waliomdanganya na hivyo yeye kuliongopea taifa??
Na kwa kauli yake hiyo ambayo haikutokea licha ya kamanda lema kuweka kambi Arumeru, kwanini Tendwa asijiuzulu?