WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
wa kenya sio patrice, ni patrick.
khee ..! Mi bongo bwana'
kwani peter na pierre kuna tofauti?
-english&france.
wa kenya sio patrice, ni patrick.
john alikuwa kipenzi cha watoto hivyo nami nilikuwa mtoto kipindi hicho. Karate ni kwa ajili ya kujilinda maana alikuwa anazijua.
nakubaliana na wewe huu ni wakati wa kumuombea marehemu apumzike kwa amani na kuwatakia wafiwa wapate nguvu na utulivu kwa kuondokewa na ndugu yao.
Mambo ya usalama hayanihusu kama wanafanya kazi yao vizuri au la ila nachojua taifa liko salama. Tusiwape lawama maana hawana uwezo kisheria kumfunga mtu jela na polisi nao pia hawana uwezo huo.
1.Andrew aka Ganesh 2.Anna 3.Emil Magige 4.John Guido 5.Charles Makongoro 6.Madaraka 7. Rosemary
tutakukumbuka mpiganaji john nyerere. poleni sana.John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
Swali ni je kanisa katoliki litakubali kumzika sababu alikuwa akisali pale riverside kwa father Nkwera ambaye kanisa katoliki halitaki hata kumsikia.
But may his soul rest in peace.
Poleni sana wafiwa. Mwenyezi Mungu aonaye sirini awaguse mioyo yenu katika kipndi hiki cha sononeko na majonzi. Bwana alitoa Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiweJohn Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
Hahaaha fj ni burudani kwa kweli.hahaaaaa jf jamani
1.Andrew aka Ganesh 2.Anna 3.Emil Magige 4.John Guido 5.Charles Makongoro 6.Madaraka 7. Rosemary