TANZIA John Nyerere afariki dunia

nakubaliana na wewe huu ni wakati wa kumuombea marehemu apumzike kwa amani na kuwatakia wafiwa wapate nguvu na utulivu kwa kuondokewa na ndugu yao.

Mambo ya usalama hayanihusu kama wanafanya kazi yao vizuri au la ila nachojua taifa liko salama. Tusiwape lawama maana hawana uwezo kisheria kumfunga mtu jela na polisi nao pia hawana uwezo huo.

c.c
lebanon block/tis..east gate...##√√√
 
RATIBA YA MAZISHI

11218535_1065276463515368_6775843336512635978_n.jpg
 
John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
Poleni sana wafiwa. Mwenyezi Mungu aonaye sirini awaguse mioyo yenu katika kipndi hiki cha sononeko na majonzi. Bwana alitoa Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe
 
Back
Top Bottom