Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #41
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuwewesekaHakuna mwanaccm ambaye ni mcha Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye hoja kamanda acha kuwewesekaHakuna mwanaccm ambaye ni mcha Mungu
Haya maneno yako yana ukweli kwa kiwango cha juu. Hofu yangu kama Jiwe anapitia JF na kusoma comment yako basi Wakudadavuwa aanze kabisa kuwasiliana na Mwakyembe pati ya kumuaga kimyakimya wataifanyia wapi.Naona leo full bundle mnatiririka tu..
Mkuu nikuhakikishie kabisa kuwa unapenda sana CDM ....come what may. ... ipo siku utarudi nyumbani
Ninachomshukuru mh Mbowe anaendelea kulinda heshina ya chama chetu .
Amemteua mkaskazini mwenzetu na sasa tunajua chama chetu tunakilimiliki wenyeweee.
Hao wengine tutawabana tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama hakiwaamini wanawake. Kuanzia ngazi ya mwenyekiti, mwenyekiti msaidizi sijui, naibu mwenyekiti bara na Zanzibar, katibu mkuu. Wote wanaume. Hakuna wanawake dah aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama nani unaagiza hivyo?Huna hoja ya kuijibu hoja uliyoulizwa!
Hivi, kwanini uliondoka cdm? Kama uliondoka kwa hasira fanya kuomba radhi urejeshwe! Nikupe tahadhari tu kuwa, hii task ya kuisakama cdm ni kubwa mno kwako kwani huwezi kuifanikisha na itakufelisha! Ni Kama unaipa promo badala ya kuikandia! Hata hivyo, cdm ipo juu Sana tangu juzi kwa kikosi walichokichagua ambacho ni makini kwa Kila idara! Hakuna kelele za majukwaani Bali ni kimyakimya Hadi kieleweke! Kama vipi, sumu zinatembezwa kwa kipasa sauti mtaani Wala huhitaji bodaboda kuzifuata zinakouzwa so, jipatie kichupa kikusaidie kuwahi kwa Mungu utupunguzie unaa na uchuro humu! Ala!
Kamanda jikite kwenye hojaHaya maneno yako yana ukweli kwa kiwango cha juu. Hofu yangu kama Jiwe anapitia JF na kusoma comment yako basi Wakudadavuwa aanze kabisa kuwasiliana na Mwakyembe pati ya kumuaga kimyakimya wataifanyia wapi.
Katika makatibu waliotangulia ni yupo ambaye alikuwa chaguo la wanachama?Ndugu zangu,
Huu ni ukweli, wafuasi wengi wa Chadema Mnyika halikuwa pendekezo lao kwani wao wanamwona ni mpole na asiye mkorofi,mwenye matusi na kiburi cha uzima kwa miaka ya hivi karibuni. Wanaamini Mnyika ni mwanafunzi wa Dr.Slaa sababu naye ni mseminari na kwa kweli alijifunza umakini wa mambo kutoka kwa Dr.Slaa, wanaaini Mnyika si mfuasi wa siasa za uropokaji kama akina Mbowe,Lissu, Lema nk.
Kipindi EL anauzwa huku wengi wakizungusha mikono kama ishara ya mabadiliko, Mnyika alionekana kutokubaliana na siasa hizo. Je akina Mbowe watabadilishwa na Mnyika au Mnyika atabadilishwa na akina Mbowe.
Huu ni mjadala huru unaohitaji mawazo huru na ukweli, Chaguo la wana-chadema wengi lililkuwa John Heche au Marcus Albanie (aligombea ubunge Morogoro mwaka 2015) inasemekana hawa jamaa ni wakali,wana hasira, hawaambiliki, wakorofi eli ndio walikuwa sahihi kwa hali ya sasa.
Kwa hili la Mnyika hawajafurahi,walishawahi kumtukana kuwa ni masalia ya Dr.SlaaKatika makatibu waliotangulia ni yupo ambaye alikuwa chaguo la wanachama?
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwenyekiti akishaueianana na kamati yake anapendekeza majina ya makatibu halafu wanayapitisha na anawatangaza.
Sasa ulitaka afanyeje? Ulitaka ampendekeze nani ili awe chaguo la watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
jomba hivi Mnyika huyu mliyemteua ndie yule ambaye ilikuwa nusura ajiunge na ccm kupitia upepo wa kisulisuli wa bw.Polepole..hahahaahahahah time will tell...yule alikuwa mwanafunzi mtiifu wa Dr Slaa na hatakaa aache.kuwa mfuasi wake...hahahahahah wajinga ndio.waliwaooHuna hoja ya kuijibu hoja uliyoulizwa!
Hivi, kwanini uliondoka cdm? Kama uliondoka kwa hasira fanya kuomba radhi urejeshwe! Nikupe tahadhari tu kuwa, hii task ya kuisakama cdm ni kubwa mno kwako kwani huwezi kuifanikisha na itakufelisha! Ni Kama unaipa promo badala ya kuikandia! Hata hivyo, cdm ipo juu Sana tangu juzi kwa kikosi walichokichagua ambacho ni makini kwa Kila idara! Hakuna kelele za majukwaani Bali ni kimyakimya Hadi kieleweke! Kama vipi, sumu zinatembezwa kwa kipasa sauti mtaani Wala huhitaji bodaboda kuzifuata zinakouzwa so, jipatie kichupa kikusaidie kuwahi kwa Mungu utupunguzie unaa na uchuro humu! Ala!
But this one isn't a boy, its a girl
Mie wala sina shida na hoja yako dhaifu, najaribu tuu kumuonya huyo mdau asikuhusishe sana na Kule ulikotoka kwani Jiwe laweza kukuangukia VX ya bendera ukaisikia kwa wengine maana kiuhalisia wewe sio NW material
kwani.uongo..sio masalalia yakeKwa hili la Mnyika hawajafurahi,walishawahi kumtukana kuwa ni masalia ya Dr.Slaa
Sent using Jamii Forums mobile app