Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,863
- 54,098
Sasa,umeanza hallucinations!Hivi humu JF kuna mtu anayejitambua ataomba kuijua hali yako ya afya "kumutwe"?You are oftenly paranoid!😂😂😂😂Ukiombwa ushahidi utaleta?
Sasa,umeanza hallucinations!Hivi humu JF kuna mtu anayejitambua ataomba kuijua hali yako ya afya "kumutwe"?You are oftenly paranoid!😂😂😂😂Ukiombwa ushahidi utaleta?
Mleta uzi is a pure captivity of his own negativities!Ndiyo maana huwa anajijengea mauzauza kichwani ambayo "anapenda na anataka" yampatie na kumfarji kwa kadiri ya uono wake.😂😂😂😂Serikali ikifanya vizuri tuipongeze sio tupingepinge kama mataahira.
La kuandika kichwa cha habari tofauti kabisa na habari yenyeweMleta uzi ana kosa gani?
Kichwa cha habari kilitakiwa kiwejeLa kuandika kichwa cha habari tofauti kabisa na habari yenyewe
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Vijana wa hovyoUnaelewa maana ya neno "jikite"?Kwa nini nitumie nguvu nyingi kutaka niwe sambamba na hoja?Huwa siandiki gazet,mistari miwili au mitatu tu inatosha.Tatizo unataka niandike unavyopenda ndiyo ujipe imani batili kwamba "nimekukita" kwenye "kioja" ulicholeta.
Polepole muhishimiwa.Usiwashambulie vijana.Vijana wa hovyo
Hivi ww johnthepaptist mbona umekuwa bwege SANA kadri unavyosema badilika hii jamii forum sio ya wajingaMnyika aache uchochezi
Anaweza kuvuruga Maridhiano huyu!