kapiga hesabu kaona kibamba wachaga wengi watamuonea aibu kwa uongo wake.
Kiukweli mimi siko tayari kuchukua dhamana ya kuongoza nchi kwa style hii. Kiukweli hatujajipanga. Tusiwe wanafiki hata kidogo. Tuwe watu wa maamuzi magumu kama Dr Slaa na Prof Lipumba tuu. Tuige mifano hiyo tusione aibu. Hata Mbowe tulimwambia hili. Unapokosea ndipo unajifunza. Practice makes perfect.! Haiwezekani kama watu tuna akili nzuri kweli kabisa hawa wagombea tumewaanika kwa maufisadii weee nchi nzima. Leo hii eti wote ni wasafi kwa sababu mahakimu wamekuwa wwnyewe makamanda wetu. Ni aibuuuuuu...... hata nyinyi? !!! Nani mnadhani atawaamini tena hapa duniani. Labda ahera
Kaka katika watu tuliyofanya maamuzi magumu kama Dk. na Prof. mimi ni mmoja wao kwa miongo mitatu mfululizo iliyopita nimekuwa mfuasi wa CDM na niliwaamini sana viongiz wangu ila mwaka huu... mwaka huu...
Kwa ujinga tuliokua nao makamanda! Tukiulizwa swali kama hili utakuta tunarukia oohh kwani chadema ndio inatawala? ? Sasaaaa kama tulijua chadema haitawali swali
-je wakati tunaahidi wakati wa kampeni kwani tulijua tungepata wapi fungu la kutatua ahadi zetu?
-je kwa nini basi tusiweke au tuahidi zile ambazo zipo chini ya uwezo wetu
-je ni kwa nini tusichukuliwe hatua kwa kuahidi hewa? !?
-je kama hilo dogo tu tulishindwa, hivi tutasemaje makubwa tunayaweza ya kuongoza nchi.
Mnaudhi sana makamanda