The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,237
- 17,398
Mnyika hana lake tena, Dr Fenela kashashinda pale kibamba.
Dar, CCM watambulia Temeke na Kigamboni tu........!!!
Mnyika hana lake tena, Dr Fenela kashashinda pale kibamba.
Mnyika hana lake tena, Dr Fenela kashashinda pale kibamba.
Mnyika hana lake tena, Dr Fenela kashashinda pale kibamba.
Mnyika hana lake tena, Dr Fenela kashashinda pale kibamba.
Kwa hiyo Mnyika aligombea ili aweze kulipwa mshahara tu ili aweze ishi yeye ma ndugu zake
Kama hata hujui kipindi alichokaa Mnyika bungeni, hauwezi kujua mambo aliyoyafanya !
Wananchi wa ubungo (nikiwemo na mimi) ndio tuliompeleka Mnyika bungeni, ninaamini kwa wale wa kibamba watamrudisha tena bungeni.... Na sisi wengine tuliobaki Ubunge tutampeleka Kubenea bungeni.....
October 25 sio mbali, tuvute subira !
Badala ya kulia na serikali ya ccm unalia na mnyika??
Unashamulia 2 nitajie wabunge watano wa ccm ambao wamemzidi mnyika kiutendaji?
Katika wabunge ambao wanajigamba wana solution ya matatizo ya wananchi wao majimboni ni huyu kamanda.
Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea. Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 10 umefanya nini hasa cha maana. Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwwnye vyombo vya habari saizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaano. Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri ata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.ujinga mtupu mnaudhi
Hapa mtaani kuna mgombea Udiwani anatuahidi kua tukimchagua atatatua tatizo la ajira kwa vijana
Ni kweli kwamba Mnyika ameongoza hilo jimbo kwa awamu mbili?Hivi katika kipindi chako cha miaka 10 umefanya nini hasa cha maana.