John Mnyika, asante kwa utapeli huu

John Mnyika, asante kwa utapeli huu

Unashamulia 2 nitajie wabunge watano wa ccm ambao wamemzidi mnyika kiutendaji?
 
IT centre ni ajira ya kudumu kwa hawa Vijana wa UVCCM au?
 
Katika Wabunge ambao CCM ingetamani washindwe au wafe ni Mnyika, Lema, Lisu, Mdee, Msigwa, Wenje et al
 
Mbunge anaeleta Maji kweli au ndiyo maana.elimu ya uraia hair haitolewi ili CCM iendelee kutawala Wadanganyika
 
Hv ccm mnawafanya watanzania mazuzu sio, Mnyika amefanya kazi yke vzr sn lkn kwa makusudi magamba hamjatekeleza, mlitaka atoe hela yke mfukoni alete maji?.. Nyinyi mmeshindwa miaka 54 na kila kitu mnacho hamuombi hela kwa mtu, mlichoweza ni kupandisha Twiga ndege kwa hilo mmefaulu...
 
Two things are infinite: the universe and human stupidity; and I'm not sure about the universe. by Albert Einstein
 
Kama hata hujui kipindi alichokaa Mnyika bungeni, hauwezi kujua mambo aliyoyafanya !

Wananchi wa ubungo (nikiwemo na mimi) ndio tuliompeleka Mnyika bungeni, ninaamini kwa wale wa kibamba watamrudisha tena bungeni.... Na sisi wengine tuliobaki Ubunge tutampeleka Kubenea bungeni.....

October 25 sio mbali, tuvute subira !

Aende tena kufanya nini!? sisi tulikesha mabibo chuo cha usafirishaji kumsapoti leo hana la kutuambiaa! Masaburi oyeeeee!
 
Badala ya kulia na serikali ya ccm unalia na mnyika??

Kwanini aliahidi? au hawa wanaoahidi sasa kuna haja gani ya kuwachagua ikiwa wanaitupia lawama ccm!? bora kumpa mgombea wa ccm atatupa majawabu. Masaburi oyeeeee!
 
Nashangaa sana ccm..ilani yenu ndo mbovu...sana na kumbe mnakiri hamkufanya cha maana....
 
Unashamulia 2 nitajie wabunge watano wa ccm ambao wamemzidi mnyika kiutendaji?

Zaidi ya porojo mnyika hana lolote,ndani ya siku 100 tatizo la moji ubungo litakua historia,leo anaona suluhu ni kukimbilia kibamba
 
Katika wabunge ambao wanajigamba wana solution ya matatizo ya wananchi wao majimboni ni huyu kamanda.
Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea. Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 10 umefanya nini hasa cha maana. Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwwnye vyombo vya habari saizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaano. Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri ata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.ujinga mtupu mnaudhi

Mbunge wa jimbo la kibamba alikokimbilia Mnyika alikuwa nani?
 
Back
Top Bottom