Katika wabunge ambao wanajigamba wana solution ya matatizo ya wananchi wao majimboni ni huyu kamanda.
Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea.
Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 05 umefanya nini hasa cha maana.
Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwenye vyombo vya habari saa hizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaani.
Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri hata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.
Ujinga mtupu mnaudhi
Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea.
Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 05 umefanya nini hasa cha maana.
Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwenye vyombo vya habari saa hizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaani.
Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri hata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.
Ujinga mtupu mnaudhi