John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
"All is well in Chadema; what has been going on is part of what was dubbed strategy for changes which was initiated by Chadema traitors" JOHN MNYIKA, DIRECTOR OF CHADEMA

"Some analyst have warned that if the turmoil is not handled well, this might well be the beginning of the end of the party"

Source: The Citizen

Magazeti ya kiswahili yakiandika habari kama hii yanabezwa. Ngoja tuone na hapa .

Mnyika yupo sahihi kuwa hali ni shwari ndani ya Chadema? Na siyo kwamba na yeye kakichoka chama?

Walioonya kuhusu mwanzo wa mwisho wa Chadema wapo sahihi? Japo wenye kuona mbali wanaona Chadema imeshakufa, na viongozi pamoja na wanachama hawataki ushauri wa wadau?

Hivi kila anayedai ukweli na uwazi ndani ya Chadema, ni TRAITOR?
 
Mtahangaika sana,CDM ipo pale pale na inazidi kujikusanyia wanachama wapya kila uchao.Kadi za cdm zinazidi kuwa lulu huku field tulipo na tunaomba tu uongozi watuletee kadi nyingi.

uchaguzi ln mkuu? Watu wanasoma alama za nyakati hujajua tu!
 
Ikiwa we we no muongo,unadai ukweli gani?nyinyi pia mlipaswa kuchunguza he madai hayo ni ya kweli?ndipo muanze kushabikia,lakini kinyume chake kila linalotolewa kufikiri mnapiga kelele kama vimbulu,kweli nyinyi ni mazombies,mkipewa ushahidi Wa namna nao wanaohoji wanavyokosea mnapinga tena bila kuchunguza.nyinyi ni vimbulu.
 
Ikiwa we we no muongo,unadai ukweli gani?nyinyi pia mlipaswa kuchunguza he madai hayo ni ya kweli?ndipo muanze kushabikia,lakini kinyume chake kila linalotolewa kufikiri mnapiga kelele kama vimbulu,kweli nyinyi ni mazombies,mkipewa ushahidi Wa namna nao wanaohoji wanavyokosea mnapinga tena bila kuchunguza.nyinyi ni vimbulu.

Muongo yeyote hudai ukweli gani?muongo ni muongo tu,na baba yake ni shetani,kwa mujibu Wa maandiko,wote wanaomshabikia muongo,nao ni waongo tu na hawafai katika nchi hii,maana hawatakii mema wananchi.mmoja wao ni wewe na ccm wenzako.
 
So long as Mnyika abafaidika na ruzuku ya chama chake, macho na masikio yake hayaoni matatizo.

Ni tatizo lilelile la wanasiasa walioridhika na kutoona matatizo ya wanachama wake.
 
Mtahangaika sana,CDM ipo pale pale na inazidi kujikusanyia wanachama wapya kila uchao.Kadi za cdm zinazidi kuwa lulu huku field tulipo na tunaomba tu uongozi watuletee kadi nyingi.

Ila ao wanachama mnaowapa kadi leo baadae wakiwakosoa mnasema si wanachama!chama cha Ziaka..mnawabeza mpaka waliokua viongozi wenu
 
Mnyika anajidhalilisha tu luwatumiakia hao Mnyang'au...

Amekuwa mnafki sana,na hii ni aibu kwa kijana wa rika lake kutumika na hao wazee...
 
Mtahangaika sana,CDM ipo pale pale na inazidi kujikusanyia wanachama wapya kila uchao.Kadi za cdm zinazidi kuwa lulu huku field tulipo na tunaomba tu uongozi watuletee kadi nyingi.

Hivi Mnyika hajui madhambi ya Viongozi wake au ndo kumtumikia Kafiri....
 
Hivi Mnyika hajui madhambi ya Viongozi wake au ndo kumtumikia Kafiri....
WANA CCM, mtahangaika sana kuimaliza CDM kwa maneno. Wapo wanaosema sisi wana CDM tusome alama za nyakati, wapo wanaosema ati CDM imekwisha kufa n.k. Sawa tu midomo yenu nyote hailipiwi kodi ,na hakuna mtu anayeweza kuwazuia msifikirie mnayotaka kufikiria. Mnapoteza muda wenu wa kufikiria mambo ya maendeleo yenu na familia zetu, tena watu kama ninyi mmechoka kimaisha! Ikumbukwe kuwa a "person convinced against his/her own will isof the same opinion still". CDM inasonga mbele kiukweli huku kwenye field mpaka vijijini tulipo. Subirini matokeo ya Serikali za Mitaa tuwaoneshe!
 
Muongo yeyote hudai ukweli gani?muongo ni muongo tu,na baba yake ni shetani,kwa mujibu Wa maandiko,wote wanaomshabikia muongo,nao ni waongo tu na hawafai katika nchi hii,maana hawatakii mema wananchi.mmoja wao ni wewe na ccm wenzako.

kumbuka unapomnyooshea mwenzako kidole, vinne vinakurudia wewe! Chagadema dhoofu kwishney!
 
Mnyika Chamema hujafunga nayo ndoa.
 
Kwani yeye nani bwana!.Kama vipi asepe!.Alikuwepo slaa ijekuwa yeye!Oooi!
 
Aondoke ila asije kujuta! Huwa wanageuka hao! Shauri yako utatumika kama......uliza Prof atakwambia
 
Nyie cdm mnazengua cn tena viongozi wenu wa juu wanatamaa cn wakishaona mwanachama anawapinga kwa uzuri wenyewe wanaanza kumfanyia fitina kiukwel viongozi wenu wanazengua "mnyika ww sepa tafuta chama chochote kinachokufaa
 
Back
Top Bottom