sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
"All is well in Chadema; what has been going on is part of what was dubbed strategy for changes which was initiated by Chadema traitors" JOHN MNYIKA, DIRECTOR OF CHADEMA
"Some analyst have warned that if the turmoil is not handled well, this might well be the beginning of the end of the party"
Source: The Citizen
Magazeti ya kiswahili yakiandika habari kama hii yanabezwa. Ngoja tuone na hapa .
Mnyika yupo sahihi kuwa hali ni shwari ndani ya Chadema? Na siyo kwamba na yeye kakichoka chama?
Walioonya kuhusu mwanzo wa mwisho wa Chadema wapo sahihi? Japo wenye kuona mbali wanaona Chadema imeshakufa, na viongozi pamoja na wanachama hawataki ushauri wa wadau?
Hivi kila anayedai ukweli na uwazi ndani ya Chadema, ni TRAITOR?
"Some analyst have warned that if the turmoil is not handled well, this might well be the beginning of the end of the party"
Source: The Citizen
Magazeti ya kiswahili yakiandika habari kama hii yanabezwa. Ngoja tuone na hapa .
Mnyika yupo sahihi kuwa hali ni shwari ndani ya Chadema? Na siyo kwamba na yeye kakichoka chama?
Walioonya kuhusu mwanzo wa mwisho wa Chadema wapo sahihi? Japo wenye kuona mbali wanaona Chadema imeshakufa, na viongozi pamoja na wanachama hawataki ushauri wa wadau?
Hivi kila anayedai ukweli na uwazi ndani ya Chadema, ni TRAITOR?