- Thread starter
- #21
[/COLOR]Kutaka ubunge sio Kosa tatizo ni mbinu gani unazotumia kupata huo ubunge kutoa misaada na kutetea MASLAHI ni vitu viwili tofauti... Hapo kwenye red kumbe anatoa ili apate recognition? Ni bora asitoe tu maana ukitoa ili upate kitu Fulani duniani hupati thawabu kwa Mungu
hahahahha kwa hio wewe una shida kwa kuwa,anataka ubunge kwa kutoa misaada kwa jamii yake??? hao wabunge wenu ambao hawakutoa misaada,ndio wanatetea maslahi yenu eeh??? embu wataje kwa majina yao tuwaone walipotetea maslahi yenu????nimekuuliza mtu mwenye interest za watu at heart mpaka kufikia kutoa misaada out of his pocket atashindwa kutetea maslahi ya watu???nijibu kwanza...hayo ya thawabu kwa mungu unayajua wewe,wale mafisadi mnayoiita serikali ndio yanapata thawabu??? mnh