John Mashaka wa ukweeee

[/COLOR]Kutaka ubunge sio Kosa tatizo ni mbinu gani unazotumia kupata huo ubunge kutoa misaada na kutetea MASLAHI ni vitu viwili tofauti... Hapo kwenye red kumbe anatoa ili apate recognition? Ni bora asitoe tu maana ukitoa ili upate kitu Fulani duniani hupati thawabu kwa Mungu

hahahahha kwa hio wewe una shida kwa kuwa,anataka ubunge kwa kutoa misaada kwa jamii yake??? hao wabunge wenu ambao hawakutoa misaada,ndio wanatetea maslahi yenu eeh??? embu wataje kwa majina yao tuwaone walipotetea maslahi yenu????nimekuuliza mtu mwenye interest za watu at heart mpaka kufikia kutoa misaada out of his pocket atashindwa kutetea maslahi ya watu???nijibu kwanza...hayo ya thawabu kwa mungu unayajua wewe,wale mafisadi mnayoiita serikali ndio yanapata thawabu??? mnh
 
Hongera John Mashaka, Mungu akubariki kusaidia wahitaji. Kwa lengo lolote ulilonalo, Mungu anayeweza kuona sirini akujibu sawasawa na mapenzi yake kwako. Nimefurahi kuona kijana badala ya kutafuta sifa za kijinga bar na kumalizia hela kwa malaya,unawakumbuka wahitaji.
 
John mashaka wewe uko exposed sana hadi siasa za nje ya tanznaia unazijua.hivi kweli wewe leo ni wa kutoa misaaada ya juisi za 150 ili upate cheap popularity ?haaa bwana ebu fanya kwa utofauti kidogo bwana ubunge upo ongea na kina mnyika wakupe darsa how to do it .wewe sio wa ukweeeeeee umejihaibisha kwa post hiyo kwani najua ni ridhaa yako utolewe humu jamii forum.asante kwa kutuonyesha udhaifu wako
 
You can help or volunteer without a need to spread your photos to the media if you really do it from your heart.
 
John mashaka wewe uko exposed sana hadi siasa za nje ya tanznaia unazijua.hivi kweli wewe leo ni wa kutoa misaaada ya juisi za 150 ili upate cheap popularity ?haaa bwana ebu fanya kwa utofauti kidogo bwana ubunge upo ongea na kina mnyika wakupe darsa how to do it .wewe sio wa ukweeeeeee umejihaibisha kwa post hiyo kwani najua ni ridhaa yako utolewe humu jamii forum.asante kwa kutuonyesha udhaifu wako


cheap popularity for what,mbona yeye ni famous tayari.........unless umesikia kwa mdomo wake mwenyewe kuwa anataka ubunge,acha kumzushia kaka wa watu....mnasema juisi za 150 mbona hatuwaoni hata kutoa za shilingi kumi...........ingia/google john mashaka foundation uone mwenzio he is doing it be it for ubunge or not but he is doing it.....hamuwezi kuliziba jua na ungo au mwaweza atiii?? hahahah wa ukweeeeeeeeeeeeeeeeee.....
 
kama alifanya charity work kweli kwa nia njema, what is the reason for publicizing it? so it means it might be one way of requesting publicity and fame, kama ni kweli sioni haja ya kuifanya iwe mtandaoni for what reasons??????

so ni sawa watu wakihisi kuna kitu anatafuta..... si mhukumu ila ni wasiwasi wangu juu ya mhusika kuruhusu publication ya yeye kufanya charity work
 
Hongera John Mashaka, Mungu akubariki kusaidia wahitaji. Kwa lengo lolote ulilonalo, Mungu anayeweza kuona sirini akujibu sawasawa na mapenzi yake kwako. Nimefurahi kuona kijana badala ya kutafuta sifa za kijinga bar na kumalizia hela kwa malaya,unawakumbuka wahitaji.
Umejuaje kama ana za kutosha kutumia kote kote?

Watu wengine bana, kama umeenda kutoa kwa moyo mipicha na attention za nini?

Hivi kumbe kuna wenye kuwaza na wenye kuwaziwa...?lol
 
This guy is a joker just like any other jokers i know, i wonder why all the screaming, grinning & shouting is all about. Kama katoa misaada for whatever reason it might be, good for him, at least he has done something tangible rather sitting and hiding behind ur office's PC while bitchin and farting at the same time.
 
you seems to know better than me,kuna wabunge wanaogombea ubunge ili kupata UMAARUFU tu???? mmmmnh...na deal gani hizo ambazo ni tofauti na posho??? would you mind kuzitaja?????,....afu usiingize maswala ya dini humu vitabu vya dini vinakuhusu wewe na familia yako,una uhakikka gani yeye ana dini???........kupiga puicha kwa taarifa yako,ni aina ya kufikisha ujumbe kuna watu tumewasahau,wanahitaji suport yetu.na ulivyo na roho mbaya ummeona vijuice tu,kwanza wewe ushawahi kuvitoa???? FYI tembelea john mashaka foundation uone projects zake nyingi,mwenzio he is doing it for his society,wewe kaa hapo behind your computer na kupiga domo tu......

RA unafikiri alifuata posho ?
 
Umejuaje kama ana za kutosha kutumia kote kote?

Watu wengine bana, kama umeenda kutoa kwa moyo mipicha na attention za nini?

Hivi kumbe kuna wenye kuwaza na wenye kuwaziwa...?lol

Kama anazo za kuweza kutumia kote kote sina tatizo, mradi amewakumbuka na wahitaji.....!!

Weza anatafuta attention au hana moyo,hainihusu,furaha yangu ni kuona kijana anatoa msaada.

Tuige mfano mzuri wa kutoa kwa wahitaji.
 
This guy is a joker just like any other jokers i know, i wonder why all the screaming, grinning & shouting is all about. Kama katoa misaada for whatever reason it might be, good for him, at least he has done something tangible rather sitting and hiding behind ur office's PC while bitchin and farting at the same time.

Ahem....That's what am talking about....!!
 
Weupe ndio uzuri?

Kama sio weupe wake (ukifafanisha na wote wengine walikaa hapo), sio sababu iliyokufanya uandike katoto kazuri, basi eleza nini ilikuwa maana yako kusemea uzuri kwa kuona picha tu. Kwani hata mimi naamini weupe wa ngozi sio sifa pekee ya kuitwa mzuri.
 
Who is this chap?

Huyu jamaa ni investment banker wells fargo huko newyork. Nadhani naye ni fisadi. Mashaka alimchangia mbunge fulani wa ccm $40,000 we hizi hela alitowa wapi kama siyo fisadi chipukizi ? ukishaingia ccm na wewe ni gamba (fisadi) hauna cha mashaka wala cha nini. wote ccm wananuka.
 
ndio shida ya serikali kuwekwa mfukoni na wafanya biashara,wamesababisha uongozi kuwa ni kazi inayolipa kuliko kazi zote unazozijua.
huyu hana lolote kwanza hiyo misaada kwake ni dili na bado anafukuzia ubunge kwani ndo ameona pa kutokea.

watanzania kwa kipindi hiki tuwaogope watu hawa kama ukoma.

mkuu hawa watu wanalipwa hela nyingi sana.
nimepata data, kima cha chini hawa wanachota kama $350,000 kwa mwaka
hapo bado kuna kitu kinaitwa bonuss. kwa hiyo sidhani ataacha kazi zake kwenda kwenye ubunge?
kama ni hivyo kwa nini ajiingize kwenye siasa za maji taka au ndo anataka kuwa kama RA??
watanzania hatudanganyiki tena
 
cheap popularity for what,mbona yeye ni famous tayari.........unless umesikia kwa mdomo wake mwenyewe kuwa anataka ubunge,acha kumzushia kaka wa watu....mnasema juisi za 150 mbona hatuwaoni hata kutoa za shilingi kumi...........ingia/google john mashaka foundation uone mwenzio he is doing it be it for ubunge or not but he is doing it.....hamuwezi kuliziba jua na ungo au mwaweza atiii?? hahahah wa ukweeeeeeeeeeeeeeeeee.....

mie hata simujui huyo ndiye nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom