John Magale Shibuda: Kilio cha samaki

John Magale Shibuda: Kilio cha samaki

Kama isingelikuwa "chuki binafsi" dhidi yangu basi ungeweza kuchangia kwa kiasi cha ufahamu ulichonacho, maana nafahamu uwezo wako hauishii kwenye kumjudge mtoa mada tu, inaendelea zaidi ya hapo.

Mbeya unakuja lini mchana? Make mnaingia Uck na kutoweka Uck.... Mtachinjwa ninyi wasaka tonge....

Yatima ulofika pazuri kwa nguvu ya umma ukaichezea sasa unalilia huruma yetu... Njoo vwawa tukuchane asubuhiiii
 
hahahahaha!! Like Shonza; Like Shibuda; two of a kind!! haha; Shibuda angekuwa Nguli wa siasa asingejichimbia kaburi akajizika mwenyewe kisiasa! Shibuda, ZZK na mleta mada hawana tofauti; when need is too high; logic suffers.; Nyota zilizozimika; Good riddance Shonza; Good riddance Shibuda, Good riddance ZZK, the modern day Judeas Iskariots!
Ni kubaya mno kulishwa nawe ukala bila kuchambua, bila kunawa ni ujinga. Eti Usaliti, mmemezeshwa nanyi mmemeza.,wafuasi wa kibwetele.
 
Nchi hii ina watu wa ajabu sana.. hii umeandika kwa utashi wako au kwa shinikizo la M-pesa za Lumumba!!

Kama umeandika kwa utashi wako kuna mawili.. unaweza kua umelewa viroba original au una mihemko iliyopitiliza, tafuta vijana wakusaidie kutoa hiyo mihemko!!

Its a pity kwa vijana kua na upuuzi wa kiwango hichi... hatuwezi kuendelea kwa style hii aisee!!

Pathetic!
Taratibu, acha sindano iwaingie.
punguza jazba, tafuta kikombe cha maji, kunywa kisha kaa chini soma tena thread yangu kisha unaweza kuposti comment yako, nadhani itakuwa tofauti na hii kwa umbali wa mbingu na ardhi.
 
Kadadaa - hutakaa uisahau CHADEMA katika maisha yako inavyoonekana!! nimeangalipa post zako zote ni kama unalalamika kupewa taraka isiyo rejea, ni lazima uitaje CHADEMA, DR.Slaa ama Mh. Mbowe!! - unahitaji mtaalam wa kisaikologia kukutibu tatizo hili.

Wenzako CHADEMA wameshakusahau kabisa kama uli-exist, kwa sasa wako UKAWA wanajiandaa kuunda Serikali mwezi October - Pole lakini lazima tu ukubali kwamba wewe si CHADEMA kwa sasa, na mambo yao waachie wenyewe.
 
Kadadaa - hutakaa uisahau CHADEMA katika maisha yako inavyoonekana!! nimeangalipa post zako zote ni kama unalalamika kupewa taraka isiyo rejea, ni lazima uitaje CHADEMA, DR.Slaa ama Mh. Mbowe!! - unahitaji mtaalam wa kisaikologia kukutibu tatizo hili.

Wenzako CHADEMA wameshakusahau kabisa kama uli-exist, kwa sasa wako UKAWA wanajiandaa kuunda Serikali mwezi October - Pole lakini lazima tu ukubali kwamba wewe si CHADEMA kwa sasa, na mambo yao waachie wenyewe.
Labda nikuulize..umeandika nini sasa..?
 
S ulihama chama sasa mambo ya mme wako wa zamani ya nini kama mme mpya ni bora???? ukoona hivyo unawashwa kurudi kwa mme wako wa zamani, hatuli matapishi upande huuu, nenda nenda dada nenda
 
John Magale Shibuda ni kigeugeu wa siasa.Si sahihi kumsifia na kumwita eti ni Drogba wa siasa. Unatafuta tu njia ya kuisema chadema kwa sababu inakuuma sana kuona inapeta kinyume na matarajio yenu nyie vibaraka wa maficcm.
 
Inahitaji akili na ufahamu kujua kuwa umekosea, na inahitaji hekima kukiri makosa, na inahitaji maarifa ya hali ya juu "kujisahihisha" kimsingi hawa jamaa zetu ni sikio la kufa...kaburi tu ndio dawa.

Aisee michango yako huwa inanifurahisha sana,pamoja na kuisema CHADEMA vibaya ukifikiri kuwa unaichafua ili watanzania waichukie ndiyo watanzania wanazidi kuipenda zaidi.

Unapo iombea kifo CHADEMA ndiyo Mungu ana zidi kuisitawisha na kuiongezea uhai zaidi na kuifanya watanzania waendelee kuiona kuwa hakuna chama kinachoweza kuwakomboa kutoka kwenye utumwa wa CCM zaidi ya CHADEMA.

Ndiyo maana tangu ulipoanza kuishambulia na kuiombea kifo CHADEMA kwa kushirikiana na wenzako mliotimliwa kwa pamoja, hakuna aliyeweza kuleta tathimini ya hasara iliyopata CHADEMA baada ya wewe na wenzako kutimliwa CHADEMA.
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia Shibuda alienda chadema baada ya kuangushwa kwenye kura za maoni ccm, baada ya kujiunga chadema na kushinda ubunge yeye badala ya kukitumikia chama chake kipya na wananchi waliomchagua akawa anatumikia wananchi wake huku akitaka kuuthibitishia umma kuwa yeye ni ccm damu ameenda chadema si kwa mapenzi yake bali ni kuwaonyesha ccm kuwa wananchi wa jimbo lake wanamtaka,

na pia alikuwa na ndoto za kurudi ccm ili agombee ubunge 2015 kupitia ccm na hapo ndio ukawa mwanzo wa kujimaliza kisiasa, pia sioni tofauti kubwa ya shibuda na wewe mleta mada kwani mwisho wako kisiasa unaoneka dhahiri umeshafika labda ufanye yale mambo yenu uje kuteuliwa baadae kuwa mkuu wa wilaya, maana wanawake mkiamua hamshindwi.
 
Duuuu! Mleta mada kachapa lapa!

Hivi mnamuelewa Juliana lakini? Anachokifanya hapa si kwa hiari yake ni msukumo kutoka kwa mabosi wake! Wamemwambia kwamba aangalie asiwe irrelevant kwani kuwa kimya kutafanya kazi ya kumtafutia cheo baadate iwe ngumu. Ykizibgatia vijana wengi wa Ccm wanalalamika kwa nini masalia ya chadema wapewe nafasi kubwa kuluko waliokuwepo chamani mda mrefu? Kwa hiyo kazi Mwigulu aliyompa Jyliana ni kyisema Chadema kwa uongo na ukweli alimradi awe na kitu cha kusema kibaya kuhusu chadema.

Kaambiwa hiyo ndio njia pekee ya kuwafanya wengibe huko ccm kuona kwamba anafanya kazi na anastahili kufikiriwa. Kwa hiyo marusi anayotukanwa hapa ni faida kwake kwani anaamini ndio njia atakayotumia kuomba ktfikiriwa: Kwamba amevumilia maKusi na keheli kwa ajili ya chama. Nadhani mmesikia Juzi mwenzake Mwampa akimtetea kwamba alikuwa Songea kutafuta nafasi ya viti maalum. Kweli njaa kutu kibaya sana. Ynakubali kudhalilusha utu wako kwa sababu ya vuti maalum mwanangu Juliana?
 
Kwa kina Juliana,Mchange,Mwampamba haishangazi?kinachoshanga ni katika mazingira gani Shibuda na Dr.Mkumbo waliweza kuwamo kwenye payrol ya Zitto?ndo mana huwa naamini kama sio uchawi basi deal lilikuwa la pesa ndefu ila Zito alikuwa akiwazika washkaji
 
Ni kubaya mno kulishwa nawe ukala bila kuchambua, bila kunawa ni ujinga. Eti Usaliti, mmemezeshwa nanyi mmemeza.,wafuasi wa kibwetele.

Masikini Ulikuwaga Shonza!! you can not redeem yourself through such third rate posts; ulijichimbia kaburi ukajizika mwenyewe; you are long past your shelf life Shonza; we can tell a traitor when we see one! sio kumezeshwa; tuna macho; tunaona! tuna masikio tunasikia! we are "Think Tanks; tunachambua na kudadavua na kutafakari mambo kwa kina! uroho wako na uchumia tumbo ulikuponza; hilo sio kulishwa wala kumezeshwa lolote bali It is a fact. Poor Juliana; Like Shonza like Shibuda, like ZZK, all modern day Judeas Iskariots. Matendo; Angalia Matendo: (Bonny Mwaitege; Gospel singer)
 
Back
Top Bottom