GE2025 John Heche: CHADEMA tunapiga kelele Polepole arudi

GE2025 John Heche: CHADEMA tunapiga kelele Polepole arudi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,441
Reaction score
5,238
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche akieleza namna chama hicho 'kilivyoapa' na kupinga matukio ya utakaji na watu kutoweka kwenye mazingira tatanishi, akitoa wito kwa Watanzania kutambua thamani ya binadamu wenzao

 
Wanafahamu alipo Pole Pole wanajuwa kila kitu...Ndio maana kila mahali wamekaza sauti wanajuwa hawa jamaa...
 
Back
Top Bottom