PreGE2025 John Heche: CHADEMA ni chama pekee kinachoweza kujaza watu mikutanoni bila kuwasomba kwa malori na kuweka kivutio cha helkopta

PreGE2025 John Heche: CHADEMA ni chama pekee kinachoweza kujaza watu mikutanoni bila kuwasomba kwa malori na kuweka kivutio cha helkopta

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
“Hakuna chama chochote nchi hii ikiwamo na CCM kinaweza kuanzisha mkutano ‘Organic’ bila kusomba watu kwenye magari na wakaenda wenyewe kwenye mkutano ni CHADEMA tu”

“Watu wengine watatafuta vivutio kama helkopta ndio ili wajae kwenye mkutano, lakini chama ambacho kwa sasa kinaweza kutangaza mkutano kwamba kesho tupo Manzese na watu wakajaa , kesho tupo Kinondoni na Kinondoni watu wakajaa kuja kutusikiliza ni CHADEMA peke yake”

“Hiyo inakwambia nini? kwamba CHADEMA ndiyo chama kinachoungwa mkono na wananchi ,tuna viongozi kila kona ya nchi hii wanaosema CHADEMA imesambaratika sio sahihi hiyo wanaona maadui zetu tu na kila mtu ana haki na maoni yake”
Chaumma wanaishi bure kichwani mwake.

Amandla....
 
Back
Top Bottom