Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,286
- 271,519
Fact..✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿❗❗🔨📌📌🔨
Fact..✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿❗❗🔨📌📌🔨
Kazi ipo“Hakuna chama chochote nchi hii ikiwamo na CCM kinaweza kuanzisha mkutano ‘Organic’ bila kusomba watu kwenye magari na wakaenda wenyewe kwenye mkutano ni CHADEMA tu”
“Watu wengine watatafuta vivutio kama helkopta ndio ili wajae kwenye mkutano, lakini chama ambacho kwa sasa kinaweza kutangaza mkutano kwamba kesho tupo Manzese na watu wakajaa , kesho tupo Kinondoni na Kinondoni watu wakajaa kuja kutusikiliza ni CHADEMA peke yake”
“Hiyo inakwambia nini? kwamba CHADEMA ndiyo chama kinachoungwa mkono na wananchi ,tuna viongozi kila kona ya nchi hii wanaosema CHADEMA imesambaratika sio sahihi hiyo wanaona maadui zetu tu na kila mtu ana haki na maoni yake”
Muite chochote tutaendelea kubeba kwenye maloriMnabeba ng'ombe za mama!
Raisi ndio mwajiri wao kuwaambia watoe magari lazima watoe
Muite chochote tutaendelea kubeba kwenye malori
October tuna tick Mama mitano tena
CCM wanahonga hadi condom kwenye mikutano yao.
Raisi ni mwajiri wao na bosi wao akiwa na ziara eneo ya kikazi kiofisi watake wasitake wafanyakazi wa umma lazima waende kumsikiliza mwajiri na bosi wao Raisi sio hiari
CHADEMA hawaelewi kutafuta kura wanawaza tu kujaza watu kuhutubia tu walio.mbele yao walipo tu
CCM baba lao
Mwenyekiti wa CCM au kiongozi wa juu akienda kuhutubia wilaya yeyote lazima kuwe na wawakilishi toka kila kata wilaya nzima wa CCM kuhudhuria ili wapeleke kwao kwenye kata zao kile alichosema kiongozi wa CCM kwa wilaya yao
Sababu hawezi hutubia au kufika kila kata
CHADEMA wanachotaka wahutubie hao waliopo eneo hilo tu ndio maana CHADEMA haina matawi kila kijiji Tanzania nzima na ndio kwenye kura huwa wanashindwa
CCM tutaendelea kubeba watu kwenye malori hatuachi .Lazima ujumbe ufike kila kona kila sehemu tawi la CCM lipo .Wakishasikia wakahutubie huko matawini kwao
CCM kuna political scientists kibao
Narudia CCM tutaendelea kubeba kwenye Malori hatuachi
Usiwapangie usafiriSasa mkuu ndo muwabebe kwenye Malori
Kujaza watu kwenye mikutano hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kupata kura nyingi kwenye uchaguzi.Ni ujinga kusema "kufungwa tumefungwa lakini chenga twawala"CHADEMA hawaelewi kutafuta kura wanawaza tu kujaza watu kuhutubia tu walio.mbele yao walipo tu
CCM baba lao
Mwenyekiti wa CCM au kiongozi wa juu akienda kuhutubia wilaya yeyote lazima kuwe na wawakilishi toka kila kata wilaya nzima wa CCM kuhudhuria ili wapeleke kwao kwenye kata zao kile alichosema kiongozi wa CCM kwa wilaya yao
Sababu hawezi hutubia au kufika kila kata
CHADEMA wanachotaka wahutubie hao waliopo eneo hilo tu ndio maana CHADEMA haina matawi kila kijiji Tanzania nzima na ndio kwenye kura huwa wanashindwa
CCM tutaendelea kubeba watu kwenye malori hatuachi .Lazima ujumbe ufike kila kona kila sehemu tawi la CCM lipo .Wakishasikia wakahutubie huko matawini kwao
CCM kuna political scientists kibao
Narudia CCM tutaendelea kubeba kwenye Malori hatuachi
Mama yenu hataweza kampeni za Lissu ataishia kumtumia wasiojulikana tu! Ametikiswa na vi Mpina na Gwajima tu mpaka nut zimelegea sembuse mtiti wa Lissu!Muite chochote tutaendelea kubeba kwenye malori
October tuna tick Mama mitano tena
Lisu wa kutikisa mtu?Mama yenu hataweza kampeni za Lissu ataishia kumtumia wasiojulikana tu! Ametikiswa na vi Mpina na Gwajima tu mpaka nut zimelegea sembuse mtiti wa Lissu!
Nashangaa Lori apande mwana CCM halafu kuumia aumie Heche na CHADEMA tena wanafoka ooh ng'ombe wa mama nyieBebeni ngombe zenu kwani shida Iko wapi?
Haahaa ukweli mchungu“Hakuna chama chochote nchi hii ikiwamo na CCM kinaweza kuanzisha mkutano ‘Organic’ bila kusomba watu kwenye magari na wakaenda wenyewe kwenye mkutano ni CHADEMA tu”
“Watu wengine watatafuta vivutio kama helkopta ndio ili wajae kwenye mkutano, lakini chama ambacho kwa sasa kinaweza kutangaza mkutano kwamba kesho tupo Manzese na watu wakajaa , kesho tupo Kinondoni na Kinondoni watu wakajaa kuja kutusikiliza ni CHADEMA peke yake”
“Hiyo inakwambia nini? kwamba CHADEMA ndiyo chama kinachoungwa mkono na wananchi ,tuna viongozi kila kona ya nchi hii wanaosema CHADEMA imesambaratika sio sahihi hiyo wanaona maadui zetu tu na kila mtu ana haki na maoni yake”