John Heche akata Keki ya Birthday Mahakamani

John Heche akata Keki ya Birthday Mahakamani

Umekuwa 'partisan' hadi kupoteza fahamu moja kwa moja!

Kama tukio hili linakuwa ni nafasi ya ku'score' points; ni matukio mangapi yanayomhusu Mh. Rais Samia Suluhu Hassan yanayoitikisa nchi nzima; kama kugawa GESI yetu ya Ntorya, kule Mtwara kwa watu wa Oman, bila ya taratibu zilizotumika kufahamika? Ni keki ngai zinazoweza kununuliwa na thamani ya gesi hiyo?
Na mapori ya wapi kule yaligawiwa...
 
Back
Top Bottom