John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

John Heche afika Moi kumjulia hali Mzee Bwege

Inawezekana mkuu, wataalamu wafanyie kazi:-
Yes, a kidney from a deceased (dead) person can be transplanted into a patient with kidney failure
kwa kwel sina taarifa za kutosha apo, naonaga tu watu wakitaka figo wanasema itoke kwa mtu alie hai lakini pia it makes sense kwa mtu alie hai bado celi znakua hazijaharibika kokote
 
itakua alikua anapiga vyombo sana ila mazoezi jaman msisahau tunakumbusha sana humu watu wanachukulia utan
Wengine wanajifanya wataalamu wa afya. Huyu jamaa namfahamu. Si mtu wa vyombo kabisa. Kumuongelea hivi mgonjwa usiyemfahamu si jambo jema.
 
huyu jamaa sjui kama ana mda mrefu anaumw sana, interview ya mwisho alikua anasema anataka kuchukua figo kwa mtoto wake
Wewe namba zako za simu hapa watu waone kati yako na Bwege nani ataanza kufa.
 
Bongo Yoso yaani dakika watu mmekuwa madakitari

Kutawala Bongo rahisi sana kwenda na midundo tu

Mzee wa Watoto wa Bata kujitanguliza mbele na mamayao kuwafuata ugua pole binadamu tumeumbiwa kupitia humo kwenye mabonde
 
Kitaalamu, hakuna uwezekano wa kuchukuliwa figo ya mtu aliyefariki akapachikiwa mgonjwa na ikafanya kazi?​
Unachukua kabla hajafa

Na kuna ethical issues zake, let alone masuala ya compatibility kati ya mpokeaji na mtoaji
 
Back
Top Bottom