John ameachwa

Naona safari hii huyu John mkubwa mmeamua kumvua nguo hadharani. Maana imekua faru John, mara ndege john, na tena mmrkuja n barua ya Rozi kwenda kwa John......
Mara John sijui naninani, ebu ngoja niishie hapa. Maana humu ndani si salam tena
 
Naona safari hii huyu John mkubwa mmeamua kumvua nguo hadharani. Maana imekua faru John, mara ndege john, na tena mmrkuja n barua ya Rozi kwenda kwa John......
Mara John sijui naninani, ebu ngoja niishie hapa. Maana humu ndani si salam tena
Uwe na amani mkuu. Kuna dada anaitwa Rozi alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake sasa sisi tukaiokota barua ndio tukasema sikukuu hii tutayashuhudia mengi
 
Huyu hawezi kuwa John Faru... yule ni marehemu tayari na huenda hata mifupa ilishaliwa na fisi... hapa John ni mmojawapo wa waliobakia hai, anatumbuliwa kwa ubahili!!...... Rozi mbayaa!... hatakagi ujingaujinga!...
 
Huyu hawezi kuwa John Faru... yule ni marehemu tayari na huenda hata mifupa ilishaliwa na fisi... hapa John ni mmojawapo wa waliobakia hai, anatumbuliwa kwa ubahili!!...... Rozi mbayaa!... hatakagi ujingaujinga!...
Kweli mjomba
 
Kupima vifupa DNA hii inaonyesha kiasi gani viongozi wa kisiasi hawana dira ya maendeleo ya kiuchumi kitaifa wanatupotezea mda tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…