Naona safari hii huyu John mkubwa mmeamua kumvua nguo hadharani. Maana imekua faru John, mara ndege john, na tena mmrkuja n barua ya Rozi kwenda kwa John......
Mara John sijui naninani, ebu ngoja niishie hapa. Maana humu ndani si salam tena
Naona safari hii huyu John mkubwa mmeamua kumvua nguo hadharani. Maana imekua faru John, mara ndege john, na tena mmrkuja n barua ya Rozi kwenda kwa John......
Mara John sijui naninani, ebu ngoja niishie hapa. Maana humu ndani si salam tena
Uwe na amani mkuu. Kuna dada anaitwa Rozi alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake sasa sisi tukaiokota barua ndio tukasema sikukuu hii tutayashuhudia mengi
Huyu hawezi kuwa John Faru... yule ni marehemu tayari na huenda hata mifupa ilishaliwa na fisi... hapa John ni mmojawapo wa waliobakia hai, anatumbuliwa kwa ubahili!!...... Rozi mbayaa!... hatakagi ujingaujinga!...
Huyu hawezi kuwa John Faru... yule ni marehemu tayari na huenda hata mifupa ilishaliwa na fisi... hapa John ni mmojawapo wa waliobakia hai, anatumbuliwa kwa ubahili!!...... Rozi mbayaa!... hatakagi ujingaujinga!...