kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,669
Hizi timu za kina Diamond na Alikiba zinatufanya tusahau hata wasanii wengine wanaofanya vizuri, mi sikujua kama 'Nusunusu' wa Joh unafanya vizuri hivyo kwenye channel kubwa hadi nilivyotembelea IG page yake, huo wimbo umekamata no1 kwenye chati, vitu vya namna hii ndio tunavitaka, sio kilasiku Diamond tuuu. Hongera kwake Joh Makini, juhudi zako zitafanya ufike mbali, baada ya Diamond, wewe na Vannesa nahisi ndio mtafatia kutuwakilisha vyema Africa