Major League
Member
- Mar 20, 2017
- 55
- 47
fid q vs zohan ningekuelewa joh unga hana lyrics
Mckilize vizur Baba malcom then rudi utengue izo kauli za fid ni kingUsimfananishi fid na mwana hiphop yoyote hapa tz... Fid ni habari nyingne
Mckilize vizur Baba malcom then rudi utengue izo kauli za fid ni king
Umenena vyema!!Nimekua na mziki mgumu wa fareed na ndio ulionifundisha kukaza.
Joh akashindane na young killer au kitokololo but Fid ni kumkosea heshima.
Fid q ni real EMCEE hajabadilika katika mwenendo wa HIP HOP lakini Joh makini alikua kweli EMCEE zamani kabla hajaamua kulitafuta soko fulani ambalo limempotezea sifa ya kuwa EMCEE sasa ni rapa wa kawaidaHeri ya pasaka wana JF
Leo katika pitapita nimekutana na mjadala uliokuwa unawaelezea wakali wa miondoko ya kufoka(hip hop) wa hapa TZ kati ya Joh makini na Fid q,toa maoni yako nani ni mkali zaidi katika uandishi wa mashairi na kuimba
Inaonekana hapa kuna Ukasikazini na Uziwani. Basi mi wa Nyanda za... Nikae kimya. Maana huwezi kumlinganisha Fid na takataka hiyoAnachonikera Fid Q ni kujipendekeza kwa Bashite na CCM. Hana ugumu wowote lofa tu njaa anaivalia kibwaya, asubiri 2020 akapigie kampeni chama chao
Joh Makini hana tofauti na Young D.Joh makin na fid q wote n wakal kwenye hip hop ila wanafanya mziki tofauti hivyo kaz kuwafananisha.. Fid q anaandika sana mistar migumu(sikiliza roho uone ilvo ngumu) joh makin ana mistar milain afu ana flow vizur
Wewe ndio umeongea, sijaona genius zaidi ya Nikk mbishi bongo hapa.Mckilize vizur Baba malcom then rudi utengue izo kauli za fid ni king
Hivi wewe kweli unajua mziki?mmemjenga hivyo, hayuko hivyo
hajulikani mtaani, hana hela kama anazo sio kwa ku rap
mwambieni nyimbo zake ziwe simple, ziendane na jamii.....
angalau sifa zenu zingempa hela basi