Hii sio ajabu. Majogoo huwa wanataga lakini viyai vidogo na sio mara kwa mara na hutokea kwa wale walikomaa sana. Sisi tnaofuga Kuku wa kienyeji huku vijijini sio jambo la kushangaza. Ingekuwa kuna ofisi ya JF ningeweza kuleta yai na Jogoo siku ingetokea lakini hata ukiwauliza wazee wa vijijini watakueleza kwamba hiyo sio ajabu lakini sio kwa wingi huo wa mayai 14.