Dr. Sakis One
Member
- Dec 27, 2010
- 32
- 0
Nimepigiwa simu muda si mrefu na kuhabarishwa kuwa jamaa mmoja katika mji wa Songea amefumanikwa na mganga maarufu kutoka kanda ya ziwa nyasa akiwa anavunja amri ya sita na mke wake! Mganga huyo ambaye ni mpole lakini machachari alimuwekea mtego mke wake baada ya kuona hampi unyumba kwa muda kama wa miezi 4 akidai anaumwa tumbo au sometimes anavua mfululizo ili tu mganga akose malavidavi.
Jimama huyo mgawa uroda alikuwa amepata serengeti boy ambaye alikuwa akiuza duka maarufu mtaani hapo. Baada ya kula raha kama mara 4 hivi; siku ya tano mganga aliweza ona muvi nzima kupitia kamera yake na hapo ndipo alipomfanya jamaa ashindwe kupanda mtungi. Inasemekana kuwa wote wawili viungo vyao vya uzazi viliungana tu kwa juu juu lakini mchi haukuweza kuzama chini, na walikaa hapo masaa 6 hadi walipopiga simu na kuomba msaada wa kuokolewa.
Hata hivyo mganga huyo amekataa kuwafikisha katika vyombo vya sheria lakini, amewapa uhuru kila mmoja achague adhabu ambayo ataona inamfaa.
Ama kweli mke wa mtu ni sumu, shime akina mama mnaoibiwa waume zenu nadhani tiba sasa yaweza patikana! Ni kunasisha tu viungo vya uzazi, na jogoo ashindwe kuwika!
Jimama huyo mgawa uroda alikuwa amepata serengeti boy ambaye alikuwa akiuza duka maarufu mtaani hapo. Baada ya kula raha kama mara 4 hivi; siku ya tano mganga aliweza ona muvi nzima kupitia kamera yake na hapo ndipo alipomfanya jamaa ashindwe kupanda mtungi. Inasemekana kuwa wote wawili viungo vyao vya uzazi viliungana tu kwa juu juu lakini mchi haukuweza kuzama chini, na walikaa hapo masaa 6 hadi walipopiga simu na kuomba msaada wa kuokolewa.
Hata hivyo mganga huyo amekataa kuwafikisha katika vyombo vya sheria lakini, amewapa uhuru kila mmoja achague adhabu ambayo ataona inamfaa.
Ama kweli mke wa mtu ni sumu, shime akina mama mnaoibiwa waume zenu nadhani tiba sasa yaweza patikana! Ni kunasisha tu viungo vya uzazi, na jogoo ashindwe kuwika!